Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Unajua wewe ni mgonjwa wa akili eee
Kumtakia kila la her Rais na wasaidizi wake ni unafki tangu lini
Dah una chuki weweee
Watu wengine chuki ni Kama sehemu ya maisha yao, wasikuumize kichwa mama.
 
Unajua wewe ni mgonjwa wa akili eee
Kumtakia kila la her Rais na wasaidizi wake ni unafki tangu lini
Dah una chuki weweee
Yani watu ambao mlikuwa mnasema bila wewe hakuna maendeleo, mitano tena, hakuna zaidi yako. Au mlikuwa mnalamba unyayo mpate ya kula.
 
Safi sana kwa taarifa hizi ambazo zipo transparent...

Ingekua ni kweye awamu ya Tano ungesikia maneno ya uongo uongo na kuvunga...
CAG kama mtendaji wa kwanza kuwasilisha taarifa kwa Rais mpya tangu aingie madarakani alikuwa na wakati mgumu sana sababu hakujua kama mama anapenda vificho au uwazi...ndio maana kuna sentensi ulikuwa unamuona anapata tabu kuzitaja... lakini mama kampa za uso kuwa awe wazi....
 
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Edward Kichere leo tarehe 28 Machi, 2021 amemkabidhi Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ripoti za ukaguzi kwa mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni 2020 katika halfa fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali kutoka Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi...
Ukitaka kugundua Tanzania tuna unafiki mkubwa vijana wa lumumba leo wanampongeza Rais kwa kuanika madudu ya mtangulizi wake😂😂😂
 
Mfumo anaotumia Mama wa Taifa ni 1.3.6 kitaalamu Watasha wanaita ELECTRONIC UPWARD. Hapo anakabia kwa juu mpaka ukose pumzi hivyo utoe pumzi ya akiba iliyopo UKANDA WA CHINI.

SASA HIYO SUB YAKE INAYOPASHA MISULI MNAMJUA NI NANI? Anaitwa Master KIFINYIO.

KWENYE UONGOZI WAZANZIBAR WANATHIBITISHA NI WATU NA NUSU , makofi kwao yawe mengi.
 
Rais SSH ameonesha mwelekeo wa kuzipa nguvu za kimaamuzi taasisi za serikali.Amemwambia CAG "weka mambo wazi usifiche fiche ", hii ina maana kwamba atatumia ushauri wa taasi kutoa maamuzi ya mwisho, inaashiria mambo yatakwenda kidemokrasia zaidi kwa kuzingatia kanuni na sheria.

Mama namuona kuwa makini sana na intelligent, CAG kamuwekea mtego wa ATCL mama kauruka kwa akiili sana.
Najiuliza hivi JPM ndio angepokea hio ripoti CAG angeweka bayana ishu ya ATCL au CAG anatetea ugali wake kwa BOSS MAMA!
Ngoja tusubiri bunge tuone ishu itajadiliwa vipi.
 
Huko kwingine mkuu sidhani kama rushwa ya Ngono ina madhara kuliko kwenye taasisi za elimu,maana hapo ndipo wasomi wanazalishwa sasa embu jaribu madhara ya kupata msomi mwenye GPA ya juu ilihali ameipata kwa kupitia rushwa ya ngono.
Rushwa ina madhara popote, inategemea inatolewa katika mazingira gani. Let’s say Rushwa inatolewa au inapokelewa ili tu asiye na vigezo kupata kazi fulani anatoa rushwa ili tu apate ile kazi, madhara yake ni makubwa mbeleni unless awe na uwezo mkubwa sana wa kazi regardless kukosa vigezo.

Balaa inakuja pale ambapo mtu hana akili class, anatoa rushwa yyte ili tu afaulishwe, mtu huyohuyo baada ya kutoa rushwa chuon anakuja kutoa rushwa ili apate kazi🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️ Kibaya zaidi kuna wengi wanapenda kutoa rushwa na kupokea rushwa. We still have a long way to go through this ila I hope one day tutafika mahal pazuri
 
Sijui hesabu ya ATCL kujua kama imeleta hasara au faida inapigwaje.

Hivi kama hesabu inahusisha ununuzi wa ndege zenyewe tutakuja pata faida kweli. Zitabaki kuleta faida indirect tu.
 
Mfumo anaotumia Mama wa Taifa ni 1.3.6 kitaalamu Watasha wanaita ELECTRONIC UPWARD. Hapo anakabia kwa juu mpaka ukose pumzi hivyo utoe pumzi ya akiba iliyopo UKANDA WA CHINI...
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Jamii forum sihami wallah
 
Asad ndo alikua mtamu,na ninashaka mkaguzi alikua na ripoti mbili,kavu ilikua kwajili ya marehemu,aliyetoa Leo ilikua m-badala mana haina mapendekezo yakutosha namana,solution hakutoa .kwann
Kuna ishu ukiwa kiongozi hutakiwi kukurupuka ktk maamuzi, ATCL ni ishu kubwa hivyo lazima atulie kuifanyia maamuzi tena anaweza kuwasikia wabunge mchango wao ndio amalize. Urais ni taasisi bado kuna vyombo vingine bado kuna think tank, hao ni washauri wa Rais waliobobea sio lazima wawe wazawa.
 
Mataga yanamkubali mama kishingo upande maana hayapendi uwazi wala sheria kufanya kazi 😀😀

Watapata tabu sana!
 
Unamaanisha JK alifanikiwa Sanaa? Maana unasema jk mwingine Sasa tunasubiri u Vasco da Gama uanze.
Kwa wa Tanzania wenye maono ya mbali sio wale ambao ni short sighted wanao ona tu ndege na stendi za ma basi, Jk ni model president wa modern Tz.
 
Duuuh Dooooh Daaah ni hatari sana inabidi Nikki apige chini fasta kulinda heshima yake,maana akiendelea naye atakuja kuletewa Ngoma.
Ýule demu et yupo kwenye chama cha umoja wa pisikali tz🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom