King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Ýule demu et yupo kwenye chama cha umoja wa pisikali tz🤣🤣🤣🤣
Mimi naona mahips makubwa tu ila katika uzuri kama uzuri ni kama mademu wengine tu, hana uniqueness ya kusema yeye ni mzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ýule demu et yupo kwenye chama cha umoja wa pisikali tz🤣🤣🤣🤣
Sio kweli huyo alivyogundua mzee kafariki kuna viashiria watu wamkanyaga mguu kimtindo huwezi kuja na lawama badala ya mapendekezo na unaposema wabunge wakaongee wabunge wa bunge lipi labda LA 2014 kurudi nyuma huko sio hilo LA akina babu tale...Kuna ishu ukiwa kiongozi hutakiwi kukurupuka ktk maamuzi, ATCL ni ishu kubwa hivyo lazima atulie kuifanyia maamuzi tena anaweza kuwasikia wabunge mchango wao ndio amalize. Uraisi ni taasisi bado kuna vyombo vingine bado kuna think tank, hao ni washauri wa raisi waliobobea sio lazima wawe wazawa.
Pigo lake la leo utata si huyu binti hapa tibisii?huyu dada mwenye 'way' kichwani anaitwa nani?
natamani tujuane kwa undani!
1.Kampuni binafsi inayochaguliwa na PACSalam ndugu zangu | JF na watanzania kwa ujumla 🇹🇿
Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu muweza wa yote kwa kutujalia nafasi ya kuwa hapa siku ya leo. 28 March 2021. Pia nipende kutoa pole kwa ndugu zangu watanzania wote kwa msiba wa Hayati Dr. John Pombe Magufuli, roho yake ilazwe mahala pema...
Asante mkuu.Haya karibu tena
Mama ametuganga mioyo yetu.Pongezi ni nyingi kweli kweli!
Wacha unafiki wewe .Pongezi ni nyingi kweli kweli!