Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Hii ripoti haikusubiri hata utengano wa nyonga na tumbo vya marehemu.


Yaani kama angeweza kushuhudia haya yanayoanza kujidhihirisha nae kama Mpenzi mtazamaji amini nawaambia tumbo la uharo lingemkumba maiti huyo.
 
Jf kwangu ni chanzo cha habari. Nikisikia jambo lolote nikija jf nisipolikuta 100% najua ni uongo.
Jf kwangu ni darasa. Jf kwangu ni burudani.
Nimekushangaa wewe mleta mada eti Samia ndio kakurudisha jf. Inamaana hata majukwaa mengine ulikuwa hutembelei! Maajabu kweli.
 
CAG aliyepita prof Assad alitoa ripoti mbaya ya ununuzi wa hizo ndege matokeo yake ndungai akamvalia njuga hadi akatolewa, na Mara zote mkuu aliyepita alitangaza faida ya hizi ndege. Mkaguzi kichere atuambie ni kweli hii ndiyo taarifa aliandaa kumpelekea jpm hau ameiediti baada ya kugundua kuwa anaepelekewa siyo jpm tena.
View attachment 1736821
IMG_20210328_114628_485.jpg
 
The Control and Auditor General’s (CAG) report for the financial year 2019-2020 has revealed that Air Tanzania Ltd is among the loss making government entities.

According to the report ATCL the national carrier recorded a loss of Sh60 billion in the financial year under review.

“We have discovered that ATCL has made losses of up to Sh60 billion but also in the past five years this company has been making losses annually. There are several challenges that the government ought address immediately,” said Charles Kichere

This is despite having received additional equipment in terms of aircrafts that were bought by the government to aid the company’s performance.

However, analysts say that the period under review was one of the most difficult one in the aviation industry due to the outbreak of the Covid-19 pandemic which forced most countries to go into lockdowns.

Air Tanzania Company Limited (ATCL) consequently suspended of all its international flights in response with effect from March 25.

In an interview with the Citizen Ladislaus Matindi said the company reached the decision to suspend flights to Mumbai, Entebbe, Bujumbura, following a ban from the said countries while its Comoro route operated for the last time on March 23.

The company only resumed international flights in October 2020 after close to Seven months lay off.

 
Pole mkuu vita huwa haikimbiwi,
Niliacha kabisa kuandika , nikakata tamaa,lakini hotuba yako ya leo umeganga moyo wangu uliokuwa umeinama. Hongera mama Mungu akutangulie katika kutenda haki. Naamini utafanya vizuri na watu watakuunga mkono.
 
Back
Top Bottom