Wabongo bwana bado wanafukua tu makubur sasa nikudokeze tu kuna baadh ya mambo hata siasa kuingia sio kaz rahisi sanasana issie za pesa serikalin CAG hawezi kuprint fake report akampa raisi never sahau kuhusu ilo ni kwa sababu km atatunga report nzur na kuonesha mashirika yanapata faida lazima rais atachek kwenye account za benk ya ayo mashirika kuona km izo fedha zipo sasa uweke faida ya billion 60 acheke kwenye akaunti akute negative si ni kesi
Ukwel mchungu ni huu JPM anapenda fix na alikuwa anajia kuwa hizp ndege tumekopa pesa na zinaendeshwa kihasara ila pale bandarin mmmmh !!!! Ebu subir kidogo maana TPA maofisa wa serikal ni wrngi pale bila kuunga chain hupigi hata BOT bila kuunga chain hupigi siwez shangaa nikisikia jamaa nae alihusika kwenye upigaji ni jambo la mda tu
Ukwel mchungu ni huu JPM anapenda fix na alikuwa anajia kuwa hizp ndege tumekopa pesa na zinaendeshwa kihasara ila pale bandarin mmmmh !!!! Ebu subir kidogo maana TPA maofisa wa serikal ni wrngi pale bila kuunga chain hupigi hata BOT bila kuunga chain hupigi siwez shangaa nikisikia jamaa nae alihusika kwenye upigaji ni jambo la mda tu