Yaani tulivyo shuhudia Prof. Assad alivyo furumishwa unceremonously kutoka ofisini, akawa humiliated further na Spika wa Bunge, one could sense kulikuwa kumejengeka uadui mkubwa baina ya Spika Ndugai, baadhi ya wabunge dhidi ya Prof. Assad wa watu.
Kilicho mponza Prof. Assad ni kusema ukweli bila ya kumungunya maneno, ni hicho tu na wala hakuna kingine.
Rai yangu kwa Mh. Rais S.S. Hassan, tafadhali mrudishe fasta Mzalendo wa kweli Prof. Assad kwenye wadhifa wa CAG, Prof. Assad ni jasiri sana, anajali sana ethics za kazi yake, aogopi kusema ukweli lets what comes may, ali-train ma auditors kwa kiwango cha juu, hana makuu na ni mvumilivu sana.
Tunayasema haya kwa nia njema tu, tunakuwa wakweli hapa ni hivi: Prof. Assad ndiye atakusaidia sana kuwashukia kama mwewe wezi na wabadhirifu walio kubuhu Serikalini na kwenye mashirika ya UMMA - mama huna haja ya kumkumbusha CAG kwamba awe muwazi zaidi - hiyo ndio kazi yake i.e to call a spade a spade na sio kuletewa report ambayo sehemu nyingine haiko transparent ikiwa ni mbinu za kutaka kuwalinda waharifu kiaina - please recall Prof. Assad.