RIPOTI YA WANYONGENitajie hio report ya pili inaitwaje kwny auditing mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RIPOTI YA WANYONGENitajie hio report ya pili inaitwaje kwny auditing mkuu.
Wewe tutusa kweli.kweli wewe kichwa panzi, kwa hiyo Kenya wakipata hasara na sisi tupate? hao ndio reference yetu?
Ame-edit.CAG aliyepita prof Assad alitoa ripoti mbaya ya ununuzi wa hizo ndege matokeo yake Ndungai akamvalia njuga hadi akatolewa, na Mara zote mkuu aliyepita alitangaza faida ya hizi ndege. Mkaguzi Kichere atuambie ni kweli hii ndiyo taarifa aliandaa kumpelekea JPM au ameiedit baada ya kugundua kuwa anaepelekewa siyo JPM tena.
Yaani tulivyo shuhudia Prof. Assad alivyo furumishwa unceremonously kutoka ofisini, akawa humiliated further na Spika wa Bunge, one could sense kulikuwa kumejengeka uadui mkubwa baina ya Spika Ndugai, baadhi ya wabunge dhidi ya Prof. Assad wa watu.CAG aliyepita prof Assad alitoa ripoti mbaya ya ununuzi wa hizo ndege matokeo yake Ndungai akamvalia njuga hadi akatolewa, na Mara zote mkuu aliyepita alitangaza faida ya hizi ndege. Mkaguzi Kichere atuambie ni kweli hii ndiyo taarifa aliandaa kumpelekea JPM au ameiedit baada ya kugundua kuwa anaepelekewa siyo JPM tena.
Jamaa hayupo sasa hapo yupo na maza lazima apige kaz kwanza ili mama amuelewe unafikir hajui majukumu yke anajua sema jiwe alipenda FIXCAG kaongea ukweli kipindi hiki
CAG asisubiri mpaka astaafu alafu aandike kitabu cha maisha yake ya utumishi atuambie kama kweli hii ndiyo halisi hau bandia.Ziko nakala mbili halisi na bandia inategemea anapewa nani
Kabisa mkuuJamaa hayupo sasa hapo yupo na maza lazima apige kaz kwanza ili mama amuelewe unafikir hajui majukumu yke anajua sema jiwe alipenda FIX
Amerudi mkuu, amekaa upande wa kusifu na kuabudu awamu hiiFaiza karudi?
Kheee sijamuona muda sana
Usitaje jina ww ule mzee huws namchek sasa subir mama apokee madudu kutoka pale ofis za bunge ndio watajua kwamba serikal ina mzizi mrefu na inaweza kuvunja bungeProf Asad aligeuka adui na ndugai alipewa kazi ya kufanya mpaka aondolewe leo nae yupo anapokea ripoti ya shirika la ndege kupata hasara sio mzalendo kabisa huyo...Kama shirika lilikua linapata faida hiyo gawio ilikua inatoa wapi?
isingekuwa hili suala la kuoa wake wanne, naona islamic ni dini inayosisitiza zaid haki na uadilifu. nina iman na madam president.Mama Samia mweshimiwa Rais ni mwislamu safi
Mkuu walinikera sana ofisi ilikua Kama ya kwao sio ya umma...Usitaje jina ww ule mzee huws namchek sasa subir mama apokee madudu kutoka pale ofis za bunge ndio watajua kwamba serikal ina mzizi mrefu na inaweza kuvunja bunge
Kama Faiza amerudi nimefurahi sana maana huwa siachi kujifunza kutoka kwake, anafundisha hadi sarufi ya lugha [emoji1787][emoji1787][emoji1787].Kuna huyu bibi yetu FaizaFoxy na yeye amerudi JF kwa sababu ya kipenzi chake Samia.
Amerudi kwa sababu yeye ni swala tano mwenzake!
Mitano tena!
Hivi unadhani mama samia ni chadema/ACT? Au umehama chama?Wacha unafiki wewe .
Hapo ulipo roho imefura kwa hasira .
Inabidi ukubali mabadiliko tu.
Ulizoea kuuza maneno ya fitina kwa jiwe