Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Taarifa za nyuma ila PCCB na CAG wana kazi ya kufanya maana Bado mijizi ipo sana audit ifanyike sekta zote za Serikali kubaini mijizi na loopholes zote
 
Safi sana Mh Samia Suluhu Hassan kazikazi. Jamani tumpe mitano tena mama Samia. Tuandae maandamano ya kumuongezea miaka.
 
Nina raha mie. Mimi ni nani nisiangalie Tibisii leo? Sina namna maana ndiyo pekee ipo kwa king'amuzi changu.

Ila Jiwe alikuwa ametuchosha jamani jamani jamani. Siamini kama kweli Mungu ametuinua kiasi hicho!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vipi yule aliyemkula mke wa niki wa pili, bado tu hajaresign[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani hela zetu ndo anaenda kufanyia umalaya huko ufaransa??? Inauma alafu bado yupo madarakani[emoji2957][emoji2957]
Nani huyo [emoji23]? Daaah na kwa jinsi mabavyo nikki wa pili anapenda kumsifia mke wake kuwa ni msom mwenye akili, sijui alijisikiaje kama ni kweli[emoji3].
 
Kila lenye kheri mama Samia,mimi nasubiri kufahamu jina la makamu wako,hapo nitaanza kuona kidogo wewe unataka kutawala au kuongoza?Maana Magufuli alikuchagua wewe mwanamke alijua anakutawala ndo maana mwanzoni ulikiri kuwa aliwanyoosha.
Tatizo ni kwamba mama hana hata 70% control ya nani awe VP. CC ya CCM watampangia

But ofcourse anaweza akawavimbia ingawa hii italeta mtafaruku na bifu linaweza kusababisha wamkwamishe mbele ya safari
 
Back
Top Bottom