Vegetarian
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 654
- 509
Elizabeth Mramba..Mkuu punguza ufisi mkuu [emoji23][emoji23]huyu dada mwenye 'way' kichwani anaitwa nani?
natamani tujuane kwa undani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elizabeth Mramba..Mkuu punguza ufisi mkuu [emoji23][emoji23]huyu dada mwenye 'way' kichwani anaitwa nani?
natamani tujuane kwa undani!
Tunafuatilia
Ungekuta leo tupo Osterbay tunaambiwa "Mtakufa tuu na hako kakitambaa wara hakazuii kufa" Tena madhabahuni kabisaaaaa
Lazima tuseme kwenye hiyo ripoti asiachwe na aliedesgn huo ukumbi.. hauleti radha kabisa umekaa kishamba hapo mbele walivyouinua tabu tupu huko juu sasa!... Hauvumiliki huu..🤣Kwa leo ukumbi unavumilika sana.
😂 😂 😂 😂 😂ila huyu Mh.Tulia daah,amshukuru baba yake kumpeleka shule
Ningekuwa mimi ningewakazia ccm wasingeamini, naongoza km nimeshushwa kutoka mbinguni kisha 2025 nawatupia lichama lao huko natimkia zangu Zenji kula pensheni, bara nakuja kwenye misiba tu.Tatizo ni kwamba mama hana hata 70% control ya nani awe VP. CC ya CCM watampangia
But ofcourse anaweza akawavimbia ingawa hii italeta mtafaruku na bifu linaweza kusababisha wamkwamishe mbele ya safari
angekuwa anauza mandazi tu hapo Mwanjelwa😂 😂 😂 😂 😂
yupo kadhibitiwaMbona simuoni PAY MASTER GENERAL ndg Dotto jems
Huyu na mimacho yake akirembua sijui inakuwaje.Prf majalala