Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

ATCL nayo ikaguliwe hatuwezi kuingia hasara kisa "cheap popularity za kisiasa" wakati wananchi wanaumia kuhudumia shirika linalotia hasara ya mabilioni.....Midege ni hasara ,tuna uhaba wa wafanyakazi ni bora wafanyakazi wa ATCL wakasambazwa kwenye mashirika mengine ya serikali.
hasara iliyosomwa inatisha
 
ATCL nayo ikaguliwe hatuwezi kuingia hasara kisa "cheap popularity za kisiasa" wakati wananchi wanaumia kuhudumia shirika linalotia hasara ya mabilioni.....Midege ni hasara ,tuna uhaba wa wafanyakazi ni bora wafanyakazi wa ATCL wakasambazwa kwenye mashirika mengine ya serikali.
60B loss kwa mwaka mmoja.

Aiseeee
 
ATCL nayo ikaguliwe hatuwezi kuingia hasara kisa "cheap popularity za kisiasa" wakati wananchi wanaumia kuhudumia shirika linalotia hasara ya mabilioni.....Midege ni hasara ,tuna uhaba wa wafanyakazi ni bora wafanyakazi wa ATCL wakasambazwa kwenye mashirika mengine ya serikali.
Billion 60, ni nyingi sana...halafu kwa miaka mitano mfululizo inatumia kodi zetu.
 
Back
Top Bottom