Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli amewaapisha Viongozi Wateule mbalimbali, amewasisitiza kuridhika na nafasi walizoteuliwa

Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli amewaapisha Viongozi Wateule mbalimbali, amewasisitiza kuridhika na nafasi walizoteuliwa

Kuna watu watatumbuliwa live leo. Ila Magufuli ana roho mbaya na ni mbinafsi. Leo yeye angekuwa ni Rais ?Kama angeridhika na ualimu wa secondary ?Mwaka jana angekuwa ameretire na kiinua mgongo cha million 70.
Angewaacha tu. Kwani kura za maoni zinachukua mwezi ?Walioshindwa wangerudi kwenye nafasi zao. Walioshinda hapo ndo angewareplace.
Any way............Yeye ndo Rais ana mamlaka yote kasoro kuzuia kifo chake tu.
shida iko wapi ? wacha na wengine wale keki ya taifa na wao walete hela walizotuibia huku uraiani tuzungushe pamoja hata hivyo wakati wakiwa katika ofisi hizo wametengeneza network na fedha za kutosha zinatosha kwa wao kufungua shughuli zao na kuajiri wengine katika kukuza faida na kuongeza nafasi ya ajira.
 
hela za kampen saiv znatoka kwa watia nia il uchumi wakat usiarbiwe
 
Basi kwisha habari yake...

Laana ya mzee wetu, majibu yanaanza kutoka

1594890799973.png
 
Wangeruhusu na watia nia urais uone kama wasingefika 10,000 siku ya 3. Magufuli na wabunge wa ccm wamefanya kila mtu ajione anaweza kuwa rais na mbunge
Sema wamefanya kila mtu aone ana fursa ndani ya ccm.

Sio kama Chadema, watia nia uraisi eti majimbo yao hakuna kutafuta mgombea mpaka sinema lao lakujifanya nao mgombea wao uraisi walimpata kidemokrasia iishe.

Chadema na demokrasia vinahusikanaje? Wamteue tu Lissu, waendelee na movie nyingine. Sidhani hata nyumbu wanafuatilia sinema lao.
 
ila sijui kwa upande wangu naona dogo Makonda kama kachemka vile bora angebaki au kanusa harufu ya kutolewa siku zijazo akaona abadili gia angani? angevumilia hapo kwa kuwa ubunge wa kigamboni ni kazi

Alifanyalo analijua sana na habahatishi waziri mtarajiwa
 
CCM wamejikosesha pesa za bure, kama ubunge tu zimekusanywa million 80 vipi kuhusu forms za urais Zenjibari wamekusanya ngapi? na vipi kama wangeruhusu pia forms za urais bara zitolewe wangekusanya pesa kibao na kisha kumsimamisha Magu!!
watia nia uraisi 32 x elfu 1,000,000 = 32,000,000.
 
Sema wamefanya kila mtu aone ana fursa ndani ya ccm.

Sio kama Chadema, watia nia uraisi eti majimbo yao hakuna kutafuta mgombea mpaka sinema lao lakujifanya nao mgombea wao uraisi walimpata kidemokrasia iishe.

Chadema na demokrasia vinahusikanaje? Wamteue tu Lissu, waendelee na movie nyingine. Sidhani hata nyumbu wanafuatilia sinema lao.
Nyumbu ni wewe unayefuatilia hadi unajua mgombea wao mtarajiwa wa urais. Kama wewe siyi nyumbu ni mfuasi wa nyumbu. Idiot
 
CCM sio mchezo inapendwa wagombea watia Nia ubunge wafikia elfu nane Hadi asubuhi ya Leo kwa mujibu wa Raisi
Siyo kwamba CCM inapendwa bali watia nia wanataka maisha wapate pesa kupitia CCM kwani ukiwa CCM ni rahisi kupiga dili ukasamehewa
 
Nyumbu ni wewe unayefuatilia hadi unajua mgombea wao mtarajiwa wa urais. Kama wewe siyi nyumbu ni mfuasi wa nyumbu. Idiot
ACHA KUPANIKI Nyungu. Mtaji wa matusi mwisho wake ulikuwa 2015. Hamjajifunza tu?
 
Kuna watu watatumbuliwa live leo. Ila Magufuli ana roho mbaya na ni mbinafsi. Leo yeye angekuwa ni Rais ?Kama angeridhika na ualimu wa secondary ?Mwaka jana angekuwa ameretire na kiinua mgongo cha million 70.
Angewaacha tu. Kwani kura za maoni zinachukua mwezi ?Walioshindwa wangerudi kwenye nafasi zao. Walioshinda hapo ndo angewareplace.
Any way............Yeye ndo Rais ana mamlaka yote kasoro kuzuia kifo chake tu.
Kuna siku umetetea hii mboa Leo unageuka tena
 
Back
Top Bottom