Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli amewaapisha Viongozi Wateule mbalimbali, amewasisitiza kuridhika na nafasi walizoteuliwa

Ipo siku watia nia watafika milioni moja.
forms za kugombea ulaji ni chanzo kipya cha mapato sisiem inatakiwa kuamka na kuruhusu kila ngazi watia nia wachukue forms kwa misafara huku meza kuu ikipanga safu! hebu fikiri watia nia millioni moja sh ngapi zingekusanywa?

hata urais mila ya kuzuia wengine kuchukua form ya urais imepitwa na wakati, mwaka huu watia nia wakiongozwa na Membe na Nyalandu wangeachwa wafurike kuchukua form za urais bara na sisiem ingepiga hela ndefu na sote tunajua hakuna ambae angemshinda Magu na hata kama yupo ambae angemshinda asingetangazwa!

Bashiru akili zako za kule Mlimani umeweka kabatini?kwanini sisiem haikuchukua hela za mafisadi walizoiba serikalini ambazo zingerudi kupitia forms za urais bara!!

Rais ajae asiwe muoga wa kupingwa kama huyu!

akili yangu yaniambia Mkulu hakutaka wengine wachukue forms za urais bara ili mkutano mkuu wa sisiem uwe mubashara na nchi nzima na dunia yote tuone Mkulu anapendwa anaimbiwa nyimbo na mapambio na kashinda kura za maoni kwa kishindo na kuteuliwa mgombea pekee ikiwa ni strategy yake kujijengea heshma na imani ya raia wataompigia kura uchaguzi mkuu!!

fame versus money! Mkulu kapata sifa sisiem imekosa pesa!!

vita ipo kati ya sisiem asili (wazee, watu wa porini, washamba, analogi, walipigwa viboko na wakoloni, mawazo mgando, mawazo ya kikoloni, mila , desturi na miiko ya chama, udikteta, kiswahili, elimu ya ngumbaru, ujamaa na wizi wa mali za umma, kulindana , hakikisha raia ni wajinga na maskini) versus sisiem academia ( vijana , watoto wa mjini dot com, digital, ubepari, english, demokrasia, pesa mbele, elimu ya juu, twende na wakati, tumbua wezi na wazembe, economic development, democracy and human rights activists)
 
Hizo zilikuwa enzi za chama kimoja hazirudi tena!!! ukiamua kujitosa siasa jitose kimoja usiende kubania watu .Enzi hizo wasomi walikuwa wachache .Mtu alikuwa akichukua unpaid leave anakaa hata miaka kumi nafasi yake inamsubiri sasa hivi ni bandika bandua.Ukinyanyua mguu tu haraka unakuwa replaced chap chap.Ni kata mti panda mti
 
Bashite aondoke Jumba la serikali la Oysterbay aende kwao Misungwi maana kwasasa ni raia tu wa kawaida.
Kwahiyo zile mbwembwe za kutembea na msafara wa magari 10 na polisi si ndio basi tena au ?!, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani mtu akampige picha akiwa anahama pale Masaki atuwekee humu
 
Kwahiyo zile mbwembwe za kutembea na msafara wa magari 10 na polisi si ndio basi tena au ?!, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani mtu akampige picha akiwa anahama pale Masaki atuwekee humu
Msafara itabidi apokonywe ila kwakuwa ana fedha za wizi ataajiri walinzi binafsi au baba yake atampa kutoka teeth.
 
Naona Chalamila kaamua kuwachomea wenzake kina Bashite kwa kutangaza nia ....... Mama Samia akachochea.

Lakini naona Mukulu kaamua uichunia kiaina.

Usidanganyike mkuu.
Naona siasa wewe huijui.

Kunawatu walipewa uteuzi ili wasiende kugombea kwa msukuma. Unaikumbuka hiyo?

Chalamila ni mwanasiasa!! Makonda 100% katumwa!!!

Vinginevyi angeenda nyamagana kugombea! Maana baba yke ypo igoma.

Ccm hawakurupuki!! Hata kawe!! Atapita Gwajima.

Misungwi atapita Myeti.
 
Alifanyalo analijua sana na habahatishi waziri mtarajiwa
Ngoja tusubiri inawezekana kweli na hivi uchaguzi wa mwaka huu sio wa rushwa bali ni waganganga chochote kinaweza tokea.
 
Yeye mbona hakuridhika na ualimu pale Sengerema?
 
sasa bongo ni Jamhuri ya Sukumaland!! ujanja wao wasukuma wa kupeana madaraka bila elimu kama Bashite vyeti feki ushashtukiwa nchi nzima japo hatuna la kufanya wasukuma wako wengi mno hata demu wangu ni msukuma na ana heshima mnoooo!nitamuoa na kumbadili dini soon awe muislam.

wajameni tumekwisha!!

kote wajazane wasukumu sitajali sana ila Porn Star Gwajima akipita ubunge nahama CCM naenda ACT!!

hivi miaka mitano ya Magu inakwisha lini?
 
Yeye mbona hakuridhika na ualimu pale Sengerema?
kutoridhika kwa Magu kwenye ualimu Sengerema je kunaondoa ukweli kuwa kutoridhika ni kitu kibaya? tena katika wakati huu 92% ya raia hawana ajira rasmi wala regular income?? je tunaweza kuhukumu mambo ya leo kupitia old practices?
 
Ila Kitila Mkumbo yeye hajawa replaced,au muda wake bado ?
 
Mwanza sio wapuuzi.Makonda anajua Nyamagana kuna ushindani mkubwa. Anajua asingepata. Kigamboni ni rahisi kupata maana ukuu wake wa mkoa kautumia vizuri kujijengea mazingira mazuri pale Kigamboni na kuna wasukuma kibao pale Kigamboni.
 
Sheikh ponda njoo huku uangalie uwiano mwingine[emoji1787][emoji1787]
 
kutoridhika kwa Magu kwenye ualimu Sengerema je kunaondoa ukweli kuwa kutoridhika ni kitu kibaya? tena katika wakati huu 92% ya raia hawana ajira rasmi wala regular income?? je tunaweza kuhukumu mambo ya leo kupitia old practices?
Yap tunaweza kuhukumu, yeye anavyotaka maisha mazuri na wengine wanataka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…