#COVID19 Ikulu, imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Au sisi wengine ni washamba jamani?




---

Rais wa USA, Joe Biden akichomwa chanjo

===

Wizara ya Afya watoa ufafanuzi kuhusu hoja hii, soma hapa chini:
-
 
Leo nineona maajabu ya watu wanaotakiwa watuelimishe kuhusu afya zetu wenyewe hawajui ata lufata tararibu za kulinda afya ze wengine!

Tusipoelewa msitulamu mjue tu nyie ndiyo chanzo chakuletq mkanganyiko katika jamii.

Hali hii mmelifanya kwenye camera! Je! Mkiwa pekeyenu si ndiyo mnapuyanga

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…