CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Hauwezi kuwa serious wewe. Mhudumu wa afya haujui hata umuhimu wa preventive measures?mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH, ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
Unaweza kuta huyo ni mhudumu wa bar anajifanya daktari ππHauwezi kuwa serious wewe. Mhudumu wa afya haujui hata umuhimu wa preventive measures?
Labda mkuu hahaha ππUnaweza kuta huyo ni mhudumu wa bar anajifanya daktari ππ
Acha ushamba. Unafikiri kuwa wewe peke yako ndio mhudumu wa afya? Kuna mpaka ama doctor wakutosha humu.usichokijua kaa kimya sio lazima ujifanye unakijua
Tena wajirudierudie mpaka iisheπππ!Wao wachanjwe sisi muda wetu bado.
Mhududumu wa afya Wanamna gani ndugu yangumimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH, ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari