#COVID19 Ikulu, imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?

#COVID19 Ikulu, imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?

Nyie ni washamba kiasi fulani.
20210728_125304.jpg
 
Gloves ni kwa ajili ya kumkinga mtoa chanjo asiambukizwe virusi vya ukimwi kutoka kwa anayemchanja ikitokea huyo anayechanjwa anavyo na mtoa chanjo akagusa damu yake.

Kwa kifupi kama unayemchanja una wasi wasi anaweza kuwa na virusi vya ukimwi, vaa glovu au hakikisha kabisa hugusi damu yake. Kama una uhakika hana virusi hivyo acha kuvaa glovu kwani glovu pia ina madhara yake (though rare) kwa mchanjaji na anayechanjwa. Ni kama yalivyo matumizi ya kondomu. Kama una uhakika mwenza wako hana hivyo virusi usivyae kodomu.

Hao waliochanjwa leo hakuna wasi wasi huo. Pia waliotoa chanjo hizo leo ni wabobezi wa kazi hiyo na hivyo hawawezi kabisa kugusa damu ya mtu waliyemchanja. They know the technique very well. Nadhani uliona kila aliyekuwa akidungwa hiyo sindano alivyokuwa anashikilia damu yake mwenyewe kwenye swab (kipamba) aliyopewa. Ila wachanjaji watakaokuja kukuchanja wewe lazima watavyaa gloves kama walivyovaa walipokuwa wanamchanja huyo rais wa amerika, kwani watakuwa na wasi wasi na wewe wa kutokuwa na virusi vya hiv and hepatitis.
 
Chanjo ni hiari wakuu ,tuache conspiracy ,kama hautaki acha usichome waacheni wanaotaka ,mabilionea wanachanja ,wewe mwenzangu na mimi account ina zero nukta mbili unasema mabeberu wanataka kukuua.
Eti zero nukta mbili hahahhaaaaaaaaa.
 
Gloves ni kwa ajili ya kumkinga mtoa chanjo asimbukizwe virusi vya ukimwi kutoka kwa anyemchanga ikitokea huyo anachanjwa anavyo na mtoa chanjo akagusa damu yake.

Kwa kifupi kama unayemchanja una wasi wasi anaweza kuwa na virusi vya ukimwi, vaa glovu. Kama una uhakika hana virusi hivyo acha kuvaa glovu kwani glovu ina madhara yake pia (though rare) kwa mchanjaji na anayechanjwa. Ni kama yalivyo matumizi ya kondomu. Kama una uhakika mwenza wako hana hivyo virusi usivyae kodomu.

Hao waliochanjwa leo wako salama. Ila watakapokuja kukuchanja wewe lazima watavyaa gloves kama walivyovaa walipokuwa wanamchanja huyo rais wa amerika, kwani watakuwa na wasi wasi na wewe wa kutokuwa na virusi vya hiv and hepatitis.
Umejuaje wewe anayechanjwa na anayechanjwa wako salama?
Kumbe glove huwavaliwa kwa ajili ya kujikinga na UKIMWI tu? Vipi magonjwa mengine ya kuambukizwa kwa njia ya majimaji au damu huvai glove?

Kwanini wanaohudumia wagonjwa wa Corona wanavaa glove?
Kama hakuna kuambukizwa kwa kumshika mtu maji tiririka ya Nini?
 
mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH, ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari

Acha kupotosha yaani unafanya kazi za Reproductive and Child Health (RCH)
Ambapo moja ya kazi ni kuzalisha .
Kwa hiyo unataka kuaminisha kwamba ni kawaida kuzalisha bila kutumia gloves kwenye hiyo sijui hospital I au kituo cha afya unapofanya kazi.
Acha kutetea upuuzi, utakuwa hata hufanyi hizo kazi wewe.
Kwanza kiutaratibu haishauriwi kabisa halafu wewe unasema eti ni kawaida
 
Chanjo ni hiari wakuu ,tuache conspiracy ,kama hautaki acha usichome waacheni wanaotaka ,mabilionea wanachanja ,wewe mwenzangu na mimi account ina zero nukta mbili unasema mabeberu wanataka kukuua.
Ni hiari leo mkuu, lakni haitakuwa hiari huko mbeleni😡
 
Maigizo yanasababisha wasahau kufanya hata vinavyofanyika kwenye uhalisia
😆😆😆 Tunaambiwa hawatawajibika na madhara tutayopata tokana na hizo chanjo feki zilizokataliwa US. Akili kichwani
 
Great foul..... kosa kubwa wamejisahau! mikono yake hatuwezi kuiamini.... hata mavazi, ilibidi avae nguo za hospital/gown kuonesha professionalism
Leo nineona maajabu ya watu wanaotakiwa watuelimishe kuhusu afya zetu wenyewe hawajui ata lufata tararibu za kulinda afya ze wengine!

Tusipoelewa msitulamu mjue tu nyie ndiyo chanzo chakuletq mkanganyiko katika jamii.

Hali hii mmelifanya kwenye camera! Je! Mkiwa pekeyenu si ndiyo mnapuyanga View attachment 1871410View attachment 1871411
......
 
Nesi gani anachanja bila kufuata protokali za afya?, Kama anayemchanja akitoka damu au majimaji yenye virusi naye si anaweza kuambukizwa magonjwa?
 
Administration Overview for Johnson & Johnson's Janssen COVID-19 Vaccine | CDC
👇👇👇👇
*Gloves are not required unless the person administering the vaccine is likely to come in contact with potentially infectious body fluids or has open lesions on the hands. If worn, perform hand hygiene and change gloves between patients.
 
mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH, ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
Just because you do it like that, it doesn't mean it is the right way.
 
Gloves ni kwa ajili ya kumkinga mtoa chanjo asimbukizwe virusi vya ukimwi kutoka kwa anyemchanga ikitokea huyo anayechanjwa anavyo na mtoa chanjo akagusa damu yake.

Kwa kifupi kama unayemchanja una wasi wasi anaweza kuwa na virusi vya ukimwi, vaa glovu au hakikisha kabisa hugusi damu yake. Kama una uhakika hana virusi hivyo acha kuvaa glovu kwani glovu pia ina madhara yake (though rare) kwa mchanjaji na anayechanjwa. Ni kama yalivyo matumizi ya kondomu. Kama una uhakika mwenza wako hana hivyo virusi usivyae kodomu.

Hao waliochanjwa leo hakuna wasi wasi huo. Pia waliotoa chanjo hizo leo ni wabobezi wa kazi hiyo na hizo hawawezi kabisa kugusa damu ya mtu waliemchanja. They know the technique very well. Ila wachanjaji watakaokuja kukuchanja wewe lazima watavyaa gloves kama walivyovaa walipokuwa wanamchanja huyo rais wa amerika, kwani watakuwa na wasi wasi na wewe wa kutokuwa na virusi vya hiv and hepatitis.
Pumbavu
 
Back
Top Bottom