HAPO HAKUNA CHANJO HUYO MAMA NI MSANIHII NGULI WA CHAMA NA SERIKALIGreat foul..... kosa kubwa wamejisahau! mikono yake hatuwezi kuiamini.... hata mavazi, ilibidi avae nguo za hospital/gown kuonesha professionalism
......
HUYO NESI HANA TATIZO HAPO KUNA MADAKTARI BINGWA NA MAPROFESA NESI KASAIDIA KUTHIBITISHIA UMA WA WATANZANIA NA DUNIA KUWA VIONGOZI TULIO NAO BAADA YA MAGUFULI NI UTOPOLO.huyo nesi ameonyesha unprofessionalism ya hali ya juu.tena kwenye picha ya waziri mkuu itakayosambaa dunia nzima na watu wote wataona namna manesi wa tz wanavyofanya kazi.
Ni kawaida kivipi?Mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
DU UMENIKUMBUSHA WALIVYO MUONDOA KAMANDA WETU JPM [emoji22][emoji22]NI KAMA HIVYO
Muuguzi wa afya hajui hata kuandika glovesMimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
Umenena vyema!Acha ushamba. Unafikiri kuwa wewe peke yako ndio mhudumu wa afya? Kuna mpaka ama doctor wakutosha humu.
Unashindwa vipi kutambua umuhimu wa kuvaa gloves ukiwa unahudumia mtu? Umesoma chuo gani kwanza?
Halafu hata kuandika gloves inamshinda anaandika globesHauwezi kuwa serious wewe. Mhudumu wa afya haujui hata umuhimu wa preventive measures?
WAMECLARIFY KUWA GLOVES SIYO LAZIMA.HAPO HAKUNA CHANJO HUYO MAMA NI MSANIHII NGULI WA CHAMA NA SERIKALI
Chanjo ni hiari wakuu ,tuache conspiracy ,kama hautaki acha usichome waacheni wanaotaka ,mabilionea wanachanja ,wewe mwenzangu na mimi account ina zero nukta mbili unasema mabeberu wanataka kuk
Ajabu sanaHalafu hata kuandika gloves inamshinda anaandika globes
Ningependa kusikia kauli ya chama cha kitaaluma .... Chama cha wauguzi Tanzania,wenye fani yao wana maoni gani kwenye hili. hao wengine ni wanasiasa wasanii tu.WAMECLARIFY KUWA GLOVES SIYO LAZIMA.
Picha ya kwanzaAu sisi wengine ni washamba jamani?
View attachment 1871735
View attachment 1871734
---
View attachment 1871367
Rais wa USA, Joe Biden akichomwa chanjo
===
Wizara ya Afya watoa ufafanuzi kuhusu hoja hii, soma hapa chini:
-#COVID19 - Ufafanuzi: Muuguzi aliyemchoma chanjo Mhe. Rais Samia na viongozi wengine kutovaa mipira ya mikono (gloves)
Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya Covid-19. Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikua anatekelza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo...www.jamiiforums.com
ππππhuyu atakuwa wale wa kamlete tu
Au sisi wengine ni washamba jamani?
View attachment 1871735
View attachment 1871734
---
View attachment 1871367
Rais wa USA, Joe Biden akichomwa chanjo
===
Wizara ya Afya watoa ufafanuzi kuhusu hoja hii, soma hapa chini:
-
Kweli wewe ni mhudumu? Kuandika kwenye ni
Nina wasi wasi na elimu yako Kama nimfanyakazi was afya au health personary how about hepatitis virus back to school dearGloves ni kwa ajili ya kumkinga mtoa chanjo asiambukizwe virusi vya ukimwi kutoka kwa anayemchanja ikitokea huyo anayechanjwa anavyo na mtoa chanjo akagusa damu yake.
Kwa kifupi kama unayemchanja una wasi wasi anaweza kuwa na virusi vya ukimwi, vaa glovu au hakikisha kabisa hugusi damu yake. Kama una uhakika hana virusi hivyo acha kuvaa glovu kwani glovu pia ina madhara yake (though rare) kwa mchanjaji na anayechanjwa. Ni kama yalivyo matumizi ya kondomu. Kama una uhakika mwenza wako hana hivyo virusi usivyae kodomu.
Hao waliochanjwa leo hakuna wasi wasi huo. Pia waliotoa chanjo hizo leo ni wabobezi wa kazi hiyo na hivyo hawawezi kabisa kugusa damu ya mtu waliyemchanja. They know the technique very well. Nadhani uliona kila aliyekuwa akidungwa hiyo sindano alivyokuwa anashikilia damu yake mwenyewe kwenye swab (kipamba) aliyopewa. Ila wachanjaji watakaokuja kukuchanja wewe lazima watavyaa gloves kama walivyovaa walipokuwa wanamchanja huyo rais wa amerika, kwani watakuwa na wasi wasi na wewe wa kutokuwa na virusi vya hiv and hepatitis.
Msaidie kumtafutia chuo arudi shule
Nina wasi wasi na elimu yako Kama nimfanyakazi was afya au health personary how about hepatitis virus back to school dear