BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Bongo NYOSO!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda wamechanjwa drip water..yote geresha wanaharamu wapite.
We muhudumu wa afya wa wapi wewe unaongea uongo, yaani ethics za kazi unazifanya ziwe "eti kawaida!!".Mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
😂 Mbavu zangu.Yaani doro kule nyuma anavyopiga makofi kama kaona dudu vile...heee!!!
Du wewe sasa umepitiliza ubunifu. 😳 🤣Wanataka kuugusa mwili nyama kwa nyama wanaosha nyota
Chanjo ni hiari na iendelee kubaki hivyo. Yaani unadungwa jabs tatu ila lazime uendelee kuvaa barakoa 24/7. Ukicheza vibaya tu, C-19 inakuchapa kama haikuoni vile kwenye list ya waliodungwa tayari 🙂Wao wachanjwe sisi muda wetu bado.
Acha dharau kwa raia we kachanjwe hadi kwenye mkund haina nenoSijui wakimuua wanachukua kinyesi? aibu kubwa sn, ambaye hataki aache sisi tupate chanjo
Ila watanzania [emoji1787][emoji119]Mbona huyo mwanamama anachoma kwa uoga hivyo, hiyo sindano imeingia kwenye ngozi kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha ushamba. Unafikiri kuwa wewe peke yako ndio mhudumu wa afya? Kuna mpaka ama doctor wakutosha humu.
Unashindwa vipi kutambua umuhimu wa kuvaa gloves ukiwa unahudumia mtu? Umesoma chuo gani kwanza?
Mbona uyo boya anataka kulia mbele ya kamera kiki zingine mbaya[emoji848][emoji848][emoji848]View attachment 1871430
Mbona kama anakunja sura au inauma kiki sio nzurinamuona GWAJIMA akibadilika tena kutoka kujifukiza VYUNGU na kurudi kulee alikokuwa ankupinga. kweli MOLA tupe uhai tuyaone mengi maajabu
View attachment 1871457
cc: Mamndenyi
Unaiga kuandika yanayozunguka mitandaoni!
Ni jambo rahisi kama la Gwajima, una hakika anachochanjwa bilionea ni sawa na unachochanjwa wewe? Chanjo yenyewe ya msaada!
Hata anachochanjwa waziri mkuu ni kile utakachochanjwa wewe kesho
Maigizo yanasababisha wasahau kufanya hata vinavyofanyika kwenye uhalisia.
Tena watulie maana chanjo yenyewe haitutoshi ambao tuko tayari kuchanjwa kwa hiari.... sijui kwanini wanateseka...Chanjo ni hiari wakuu ,tuache conspiracy ,kama hautaki acha usichome waacheni wanaotaka ,mabilionea wanachanja ,wewe mwenzangu na mimi account ina zero nukta mbili unasema mabeberu wanataka kukuua.
Duuh HujijaliMimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
Ndio ujue usanii uliopo!Au sisi wengine ni washamba jamani?
View attachment 1871735
View attachment 1871734
---
View attachment 1871367
Rais wa USA, Joe Biden akichomwa chanjo
Ukawaida wake uko wapi ndivyo ulivyofunzwa?Mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
Itakuwa afadhali kuliko akiwa mhudumu kweli wa hospital.Unaweza kuta huyo ni mhudumu wa bar anajifanya daktari [emoji23][emoji23]
Eti wazungu wañataka kutuua,ujinga mtupu,wakuue una lipi la kuwatisha,mnagombania nini wakuue,oooh wanataka tusizaane,sasa mzee wa miaka 60 anaechanjwa kwa kipaumbele kwanza anazaa nini sasa