#COVID19 Ikulu, imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?

#COVID19 Ikulu, imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?

Gloves ni kwa ajili ya kumkinga mtoa chanjo asimbukizwe virusi vya ukimwi kutoka kwa anyemchanga ikitokea huyo anachanjwa anavyo na mtoa chanjo akagusa damu yake.

Kwa kifupi kama unayemchanja una wasi wasi anaweza kuwa na virusi vya ukimwi, vaa glovu. Kama una uhakika hana virusi hivyo acha kuvaa glovu kwani glovu ina madhara yake pia (though rare) kwa mchanjaji na anayechanjwa. Ni kama yalivyo matumizi ya kondomu. Kama una uhakika mwenza wako hana hivyo virusi usivyae kodomu.

Hao waliochanjwa leo wako salama. Ila watakapokuja kukuchanja wewe lazima watavyaa gloves kama walivyovaa walipokuwa wanamchanja huyo rais wa amerika, kwani watakuwa na wasi wasi na wewe wa kutokuwa na virusi vya hiv and hepatitis.
Umejuaje wewe anayechanjwa na anayechanjwa wako salama?
Kumbe glove huwavaliwa kwa ajili ya kujikinga na UKIMWI tu? Vipi magonjwa mengine ya kuambukizwa kwa njia ya majimaji au damu huvai glove?

Kwanini wanaohudumia wagonjwa wa Corona wanavaa glove?
Kama hakuna kuambukizwa kwa kumshika mtu maji tiririka ya Nini?
Sababu kubwa ya watoa huduma ya afya kuvaa gloves ni kujikinga kuambukizwa virusi vya hiv na vya hepatitis ikitokea wakashika au kugusa damu ya mtu ambaye ana virusi hivyo. Kabla ya ujio wa virusi vya ukimwi mwaka 1984 walikuwa hawavyai gloves isipokuwa wakati operesheni ambako walivaa surgical sterile gloves kwa ajili ya kutompandikiza bacteria mgonjwa wanayemfanyia upasuaji (surgical site infection), kitu ambacho ni hatari sana kwa mgonjwa. Surgical gloves hizo ziliwakinga wanaofanya operesheni wasiambukizwe na virusi vya hepatitis virus kutoka kwenye damu ya mgonjwa wanayempasua. Hata kwenye kuzalisha huko labour ward walikuwa hawavyai gloves. Manesi na madaktari walikuwa wanazalisha bila kuvaa gloves. Walivyaa surgical gloves tu pale ilipobidi kuongeza njia ya uzazi kwa kuichana kwa mkasi (episitomy) na baadaye kuishona.

Gloves zilizokuwapo ni surgical sterile gloves kwa ajili ya operesheni. Non surgical gloves zilikuwapo kwa ajili ya examination maalum kwa mgonjwa kama (i)per rectal examination ambapo daktari anaingiza kidole ndani ya mkundu wa mgonjwa na (ii) per vaginal examination ambapo daktari au muuguzi anaingiza vidole viwili au vitatu kwa pamoja ndani ya uke wa mgonjwa.

Examination zingine za mgonjwa au utoaji wa huduma kama kuchoma sindano na kufunga kidonda hakukuhitaji kuvaa gloves ila mtoa huduma alinawa mikono kwa sabuni au antiseptics (hizi antiseptic ndiyo leo mnaziita sanitaizer) kabla na baada ya kumuhudumia/ kumgusa mgonjwa ili kuzuia kusambaza (transmission) vya vidudu hatarishi kama vya bacteria, virus na fungus (pathogenic microorganism) -- nasocomial aka hospital infections. Mbinu nyingine anayotumia mtoa huduma bila kuvaa glovu inaitwa non touch technique - mtoa huduma anahakikisha hagusi damu ya mteja wake. Kwa mfano akishakugunga hiyo sindano ya chanjo, anweka kipamba (swab) kwenye hiyo sehemu na mgonjwa mwenyewe ndiye anaigandamiza hiyo pamba kwa kidole chake mwenyewe hadi damu itakapoacha kutoka. Hivyo mtoa chanjo hagusi damu ya huyo mteja wake bali mteja ndiye anashika damu yake na baada ya hapo anapewa sehemu ya kuitupa.

Huu uvaaji holela wa gloves zisizo sterile kwa kila mtu ni kwa sababu la kujikinga na janga la ukimwi ingawa pia vi
unasaidia kukinga kupata virusi hepatitis.
 
Mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
...Hayo ni mazoea ambayo sio mazuri..Hakuna popote wanapofundisha kumhudumia mgonjwa/mteja bila kuvaa gloves
 
Acha ushamba. Unafikiri kuwa wewe peke yako ndio mhudumu wa afya? Kuna mpaka ama doctor wakutosha humu.

Unashindwa vipi kutambua umuhimu wa kuvaa gloves ukiwa unahudumia mtu? Umesoma chuo gani kwanza?
...Akikujibu chuo alichopita ni-tag ili tufuatilie huko chuoni labda kuna wakufunzi wasio na sifa ambao wanafundisha watoa huduma kutojikinga wakati wa kuhudumia clients/patients
 
Gloves ni kwa ajili ya kumkinga mtoa chanjo asimbukizwe virusi vya ukimwi kutoka kwa anyemchanga ikitokea huyo anachanjwa anavyo na mtoa chanjo akagusa damu yake.

Kwa kifupi kama unayemchanja una wasi wasi anaweza kuwa na virusi vya ukimwi, vaa glovu. Kama una uhakika hana virusi hivyo acha kuvaa glovu kwani glovu ina madhara yake pia (though rare) kwa mchanjaji na anayechanjwa. Ni kama yalivyo matumizi ya kondomu. Kama una uhakika mwenza wako hana hivyo virusi usivyae kodomu.

Hao waliochanjwa leo wako salama. Ila watakapokuja kukuchanja wewe lazima watavyaa gloves kama walivyovaa walipokuwa wanamchanja huyo rais wa amerika, kwani watakuwa na wasi wasi na wewe wa kutokuwa na virusi vya hiv and hepatitis.

Sababu kubwa ya watoa huduma ya afya kuvaa gloves ni kujikinga kuambukizwa virusi vya hiv na vya hepatitis ikitokea wakashika au kugusa damu ya mtu ambaye ana virusi hivyo. Kabla ya ujio wa virusi vya ukimwi mwaka 1984 walikuwa hawavyai gloves isipokuwa wakati operesheni ambako walivaa surgical sterile gloves kwa ajili ya kutompandikiza bacteria mgonjwa wanayemfanyia upasuaji (surgical site infection), kitu ambacho ni hatari sana kwa mgonjwa. Surgical gloves hizo ziliwakinga wanaofanya operesheni wasiambukizwe na virusi vya hepatitis virus kutoka kwenye damu ya mgonjwa wanayempasua. Hata kwenye kuzalisha huko labour ward walikuwa hawavyai gloves. Manesi na madaktari walikuwa wanazalisha bila kuvaa gloves. Walivyaa surgical gloves tu pale ilipobidi kuongeza njia ya uzazi kwa kuichana kwa mkasi (episitomy) na baadaye kuishona.

Gloves zilizokuwapo ni surgical sterile gloves kwa ajili ya operesheni. Non surgical gloves zilikuwapo kwa ajili ya examination maalum kwa mgonjwa kama (i)per rectal examination ambapo daktari anaingiza kidole ndani ya mkundu wa mgonjwa na (ii) per vaginal examination ambapo daktari au muuguzi anaingiza vidole viwili au vitatu kwa pamoja ndani ya uke wa mgonjwa.

Examination zingine za mgonjwa au utoaji wa huduma kama kuchoma sindano na kufunga kidonda hakukuhitaji kuvaa gloves ila mtoa huduma alinawa mikono kwa sabuni au antiseptics (hizi antiseptic ndiyo leo mnaziita sanitaizer) kabla na baada ya kumuhudumia/ kumgusa mgonjwa ili kuzuia kusambaza (transmission) vya vidudu hatarishi kama vya bacteria, virus na fungus (pathogenic microorganism) -- nasocomial aka hospital infections. Mbinu nyingine anayotumia mtoa huduma bila kuvaa glovu inaitwa non touch technique - mtoa huduma anahakikisha hagusi damu ya mteja wake. Kwa mfano akishakugunga hiyo sindano ya chanjo, anweka kipamba (swab) kwenye hiyo sehemu na mgonjwa mwenyewe ndiye anaigandamiza hiyo pamba kwa kidole chake mwenyewe hadi damu itakapoacha kutoka. Hivyo mtoa chanjo hagusi damu ya huyo mteja wake bali mteja ndiye anashika damu yake na baada ya hapo anapewa sehemu ya kuitupa.

Huu uvaaji holela wa gloves zisizo sterile kwa kila mtu ni kwa sababu la kujikinga na janga la ukimwi ingawa pia vi
unasaidia kukinga kupata virusi hepatitis.
Umejibu kitaalamu vizuri.👎👎👎
 
Ni aibu mchomaji kutokuvaa gloves. Tulikubali hilo kuwa ni kosa! halafu kitu kimekuwa televised kwa bashasha na nderemo! Hapo tumekosea! 🙄
 
Mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
Ukawaida wake ni Nini? Unaelewa maana ya Infection prevention and control (IPC)? Medical attendants mna matatizo Sana, sijui kwa nini mnaruhusiwa kugusa wagonjwa.
Infact, ni kosa mtoa huduma za afya kutoa huduma zinazohusisha kuchoma sindano bila kuvaa Gloves.
 
Usitetee uhuni unaofanya huko MCH/RCH. Hata mimi nafanya kazi afya. Unatakiwa uvae glove. Nashukuru Watanzania kwa kuwa observant. Badala ya zoezi kutoa wananchi wasiwasi juu ya chanjo, wajinga wamelifanya liongeze wasiwasi kwa wananchi. Wanafanya ujinga wao mbele ya mamilioni ya Watanzania kwenye TV! Nchi hii haina viongozi kabisa! Waziri wa Afya yuko wapi? Rais/PM wanachanjwa kwenye TV bila gloves?
Waziri doro yuko pale nyuma amegeuka kuwa mshangiliaji.
 
Acha kupotosha yaani unafanya kazi za Reproductive and Child Health (RCH)
Ambapo moja ya kazi ni kuzalisha .
Kwa hiyo unataka kuaminisha kwamba ni kawaida kuzalisha bila kutumia gloves kwenye hiyo sijui hospital I au kituo cha afya unapofanya kazi.
Acha kutetea upuuzi, utakuwa hata hufanyi hizo kazi wewe.
Kwanza kiutaratibu haishauriwi kabisa halafu wewe unasema eti ni kawaida
Kuna kitu kinaitwa RCH na Labour ward nahis umechanganya
 
Gloves ni kwa ajili ya kumkinga mtoa chanjo asimbukizwe virusi vya ukimwi kutoka kwa anyemchanga ikitokea huyo anachanjwa anavyo na mtoa chanjo akagusa damu yake.

Kwa kifupi kama unayemchanja una wasi wasi anaweza kuwa na virusi vya ukimwi, vaa glovu. Kama una uhakika hana virusi hivyo acha kuvaa glovu kwani glovu ina madhara yake pia (though rare) kwa mchanjaji na anayechanjwa. Ni kama yalivyo matumizi ya kondomu. Kama una uhakika mwenza wako hana hivyo virusi usivyae kodomu.

Kwa kifupi au kwa ufala wako? Kabla ya UKIMWI gloves hazikuwepo? Pumbav kabisa!!!! Halafu unashinda JF badala ya kujiendeleza akili ikomae!
 
Hivi unawezaje kuhamasisha watu wavae barakoa wakati mhudumu wa afya tena mwenye fani yake anasahau kuvaa gloves tena kwenye siku muhimu ya kuonyesha umahiri?..... Watalaamu wanaopaswa kuwafundisha wanasiasa wamegeuka kuwa vigwangala?.. Du!.
Mkuu hakuna umalaya mkubwa Kama wa siasa, by@nyerere voice
 
Chanjo ni hiari wakuu ,tuache conspiracy ,kama hautaki acha usichome waacheni wanaotaka ,mabilionea wanachanja ,wewe mwenzangu na mimi account ina zero nukta mbili unasema mabeberu wanataka kukuua.
Eti wazungu wañataka kutuua,ujinga mtupu,wakuue una lipi la kuwatisha,mnagombania nini wakuue,oooh wanataka tusizaane,sasa mzee wa miaka 60 anaechanjwa kwa kipaumbele kwanza anazaa nini sasa
 
Hapo yaweza kuwa ni zengwe tu,

215085853_108854211466287_6889125740631520666_n.jpg
 
Chanjo ni hiari wakuu ,tuache conspiracy ,kama hautaki acha usichome waacheni wanaotaka ,mabilionea wanachanja ,wewe mwenzangu na mimi account ina zero nukta mbili unasema mabeberu wanataka kukuua.
sentensii yako ya mwisho imeondoa maana nzima ya hiari uliyojifanya unaiandika mwanzo,mambo ya zero balance na mabilionea kuchoma yanaingiaje kwenye uhiari???????kwa hiyo tuwaige mabilionea kwa sababu wana billions in their bank account???????ACHENI UROPOKAJI NA PROMOTION ZA KIJINGA ,ACHENI MTU ACHAGUE MWENYEWE TUSILAZIMISHANE😉
 
Haina siida

kuna miongozo imefuatwa, sanitizer inatosha
Angalieni South Africa, bhana, Israel Poa hawa kuvaa gloves

Poa muangalie siku hizi kama watoto wanapochanjwa gloves huvaliwa everywhere
 
Gloves ni kwa ajili ya kumkinga mtoa chanjo asiambukizwe virusi vya ukimwi kutoka kwa anayemchanja ikitokea huyo anayechanjwa anavyo na mtoa chanjo akagusa damu yake.

Kwa kifupi kama unayemchanja una wasi wasi anaweza kuwa na virusi vya ukimwi, vaa glovu au hakikisha kabisa hugusi damu yake. Kama una uhakika hana virusi hivyo acha kuvaa glovu kwani glovu pia ina madhara yake (though rare) kwa mchanjaji na anayechanjwa. Ni kama yalivyo matumizi ya kondomu. Kama una uhakika mwenza wako hana hivyo virusi usivyae kodomu.

Hao waliochanjwa leo hakuna wasi wasi huo. Pia waliotoa chanjo hizo leo ni wabobezi wa kazi hiyo na hivyo hawawezi kabisa kugusa damu ya mtu waliyemchanja. They know the technique very well. Nadhani uliona kila aliyekuwa akidungwa hiyo sindano alivyokuwa anashikilia damu yake mwenyewe kwenye swab (kipamba) aliyopewa. Ila wachanjaji watakaokuja kukuchanja wewe lazima watavyaa gloves kama walivyovaa walipokuwa wanamchanja huyo rais wa amerika, kwani watakuwa na wasi wasi na wewe wa kutokuwa na virusi vya hiv and hepatitis.
Nilitegemea kuwa watakuja kujaribu kujisafisha kwenye hiki kituko,lakini sio wewe Dr. Akili...kati ya "procedure" zinazotakiwa zifanyike kwa kuzingatia masharti "sterility" ni kutoa chanjo na hasa hii inayohusu kuingiza DNA kwenye mwili wa binadamu kwa lengo maalumu!....Dr Akili jitenge na hili, usichafue kazi zako nzuri humu.
 
Back
Top Bottom