Ikulu: Kikao cha kusaini hati za kuondoa hoja tano za Muungano zilizotatuliwa. Sasa rasmi mafuta na gesi kila mtu kivyake

Ikulu: Kikao cha kusaini hati za kuondoa hoja tano za Muungano zilizotatuliwa. Sasa rasmi mafuta na gesi kila mtu kivyake

Ni hatua nzuri kwa Muungano wetu. Tunaamini mambo mazuri yanakuja zaidi.

October 28th tuipe CCM kura za kishindo kwa MAENDELEO ya Tanzania

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Kwa muhtasari, hoja hizo ambazo hii leo zinasainiwa katika hati ya makubaliano kuziondoa katika zile hoja ambazo tayari zimeshapatiwa ufumbuzi ni pamoja na ushirikishwaji wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwenye masuala ya kikanda na kimataifa.

Hoja nyingine iliyopatiwa ufumbuzi ni ushiriki wa Zanzibar katika jumuiya ya Afrika Mashariki. Hoja ya tatu ni gharama za kushusha mizigo bandari ya Dar es Salaam kwa mizigo inayotoka Zanzibar.

Hoja ya nne ni utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi asilia. Hoja ya namna ya kugawana mapato ya rasilimali ya mafuta na gesi asilia yatakapopatikana. Maelezo yanatolewa na Balozi Joseph Sokoine ambae ni naibu katibu ofisi ya makamu wa Rais, Muungano na mazingira.

Balozi Sokoine: Ufumbuzi; Serikali zetu baada ya kujadiliana ziliamua kumtumia mshauri muelekezi, OPEC ya Uingereza ili atoe ushauri wa kitaalam kuhusu mgawanyo wa rasilimali ya aina hiyo kwa nchi za muungano. Kampuni ya OPEC ilikamilisha kazi hiyo na kuwasilisha mapendekezo kwa SMT na SMZ. Hata hivyo hoja nyingine ilijitokeza kwamba suala la mafuta na gesi asilia liondoshwe katika orodha ya mambo ya Muungano.

Baada ya majadiliano pande zote mbili zilikubaliana kuondoa masuala ya utafiti na uchimbaji wa mafuta na gesi asilia katika orodha ya mambo ya Muungano hivyo sheria ya mafuta namba 21 ya mwaka 2015 mamlaka ya kuanzisha vyombo vya kusimamia mafuta na gesi asilia kwa kutumia sheria ya Zanzibar.

Hoja ya tano ni utaratibu wa kikao vya kamati ya pamoja ya serikali ya mapinduzi Zanzibar na serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kushughulikia masuala ya Muungano.
========


Hamuwaondoi wazanzibar kwenye mstari hata siku 1 kwa uchaguzi unaokuja, subirini kwanza upigwe uchaguzi halafu yatafuata maigizo
 
Makosa ya siku za nyuma bado yanaendelezwa kwasababu za kisiasa

1. Kutangazwa live na TBC ni propaganda tu. Hivi barabara ya Chake chake na Mnazi mmoja ni mambo ya Muungano? Yanahusikaje na Muungano?

2. Uwepo wa Hussein Mwinyi mteuliwa wa NEC bara ni propaganda tu za kampeni za kisiasa

3. NEC walitakiwa wazuie hili kwasababu ni '' rushwa ya kisiasa''

4. Haya ni makubaliano tu ''agreement'' ambayo hayana mashiko kisheria. Kamati za muungano zimeundwa kwa mujibu wa sheria gani? Zinapatakana kwa mujibu wa sheria gani? Makubaliano hayo ni kwa mujibu wa sheria gani?
Kwahiyo kilichotokea ni propaganda za uchaguzi, haya makubaliano hayana mashiko kisheria.

5. Kwavile Bunge la JMT na BLW hayakushirikishwa hoja za Muungano zitaendelea kuleta matatizo.
Nani amesaini makubaliano kwa niaba ya Tanganyika?

Haya mambo yanayofanywa kisiasa ndiyo yanatufikisha hapa, na bado watu hawajajifunza. Hili ni suala la kushughukiwa na BLW na Bunge la Tanganyika.

Watanganyika wamebeba mzigo na siku watakapotaka makubaliano, siku hiyo muungano utakufa ghafla.
Yes watadai makubaliano tu ili kuhakikisha Zanzibar wanawajibika na kwavile si masuala ya kisheria, watapitisha makubaliano yao kama ilivyo leo.

Hivi Shamsa Vuai aliyeshughulikia sana haya mambo yupo wapi?

tindo JokaKuu
 
Makosa ya siku za nyuma bado yanaendelezwa kwasababu za kisiasa

1. Kutangazwa live na TBC ni propaganda tu. Hivi barabara ya chake chake na mnazi mmoja ni mambo ya mmuungano? Yanahusikaje na muungano?

2. Uwepo wa Hussein Mwinyi mteuliwa wa NEC bara ni propaganda tu za kampeni za kisiasa

3. NEC walitakiwa wazuie hili kwasababu ni '' rushwa ya kisiasa''

4. Haya ni makubaliano tu ''agreement'' ambayo hayana mashiko kisheria. Kamati za muungano zimeundwa kwa mujibu wa sheria gani? Zinapatakana kwa mujibu wa sheria gani? Makubaliano hayo ni kwa mujibu wa sheria gani?
Kwahiyo kilichotokea ni propaganda za uchaguzi, haya makubaliano hayana mashiko kisheria.

5. Kwavile Bunge la JMT na BLW hayakushirikishwa hoja za muungano zitaendelea kuleta matatizo.
Nani amesaini makubaliano kwa niaba ya Tanganyika?

Haya mambo yanayofanywa kisiasa ndiyo yanatufikisha hapa, na bado watu hawajajifunza. Hili ni suala la kushughukiwa na BLW na Bunge la Tanganyika.

Watanganyika wamebeba mzigo na siku watakapotaka makubaliano, siku hiyo muungano utakufa ghafla.
Yes watadai makubaliano tu ili kuhakikisha Zanzibar wanawajibika na kwavile si masuala ya kisheria, watapitisha makubaliano yao kama ilivyo leo.

Hivi Shamsa Vuai aliyeshughulikia sana haya mambo yupo wapi?

tindo JokaKuu
Shamsi Vuai yuko Mwanakwerekwe, kwao huko.
 
Makosa ya siku za nyuma bado yanaendelezwa kwasababu za kisiasa

1. Kutangazwa live na TBC ni propaganda tu. Hivi barabara ya chake chake na mnazi mmoja ni mambo ya mmuungano? Yanahusikaje na muungano?

2. Uwepo wa Hussein Mwinyi mteuliwa wa NEC bara ni propaganda tu za kampeni za kisiasa

3. NEC walitakiwa wazuie hili kwasababu ni '' rushwa ya kisiasa''

4. Haya ni makubaliano tu ''agreement'' ambayo hayana mashiko kisheria. Kamati za muungano zimeundwa kwa mujibu wa sheria gani? Zinapatakana kwa mujibu wa sheria gani? Makubaliano hayo ni kwa mujibu wa sheria gani?
Kwahiyo kilichotokea ni propaganda za uchaguzi, haya makubaliano hayana mashiko kisheria.

5. Kwavile Bunge la JMT na BLW hayakushirikishwa hoja za muungano zitaendelea kuleta matatizo.
Nani amesaini makubaliano kwa niaba ya Tanganyika?

Haya mambo yanayofanywa kisiasa ndiyo yanatufikisha hapa, na bado watu hawajajifunza. Hili ni suala la kushughukiwa na BLW na Bunge la Tanganyika.

Watanganyika wamebeba mzigo na siku watakapotaka makubaliano, siku hiyo muungano utakufa ghafla.
Yes watadai makubaliano tu ili kuhakikisha Zanzibar wanawajibika na kwavile si masuala ya kisheria, watapitisha makubaliano yao kama ilivyo leo.

Hivi Shamsa Vuai aliyeshughulikia sana haya mambo yupo wapi?

tindo JokaKuu

..kwenye nchi za wenzetu makubaliano kama haya yasingesainiwa wakati huu siku 11 kabla ya uchaguzi mkuu.
 
Kwa taarifa yako wapiga kura ni 29m+, nusu ya watanzania wote, kama mlipika data mkitegemea kunajisi box la kura, basi safari hii mmeliwa.
Kamanda mwenzangu, probability ipo wazi tumeshashinda uchaguzi, hakuna dhuluma wala kunajisi box la kura.
 
Wazanzibar wanataka nchi yao ikiwa huru kabisa! Dawa iko inachemshwa ma Maalim Seif sijui mtawaambiaje!
 
Punguzeni jazba zisizo na kichwa Wala miguu, endelea kupiga debe huko kwenye Sacco's, wenzenu wanatarget ruzuku tu kwa kuwatumia huku wakijua hawawezi hata nusu ya kura za waTZl
Kamanda mwenzangu,probability ipo wazi tumeshashinda uchaguzi,hakuna dhuluma wala kunajisi box la kura
[/QUO
 
Kwa muhtasari, hoja hizo ambazo hii leo zinasainiwa katika hati ya makubaliano kuziondoa katika zile hoja ambazo tayari zimeshapatiwa ufumbuzi ni pamoja na ushirikishwaji wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwenye masuala ya kikanda na kimataifa.

Hoja nyingine iliyopatiwa ufumbuzi ni ushiriki wa Zanzibar katika jumuiya ya Afrika Mashariki. Hoja ya tatu ni gharama za kushusha mizigo bandari ya Dar es Salaam kwa mizigo inayotoka Zanzibar.

Hoja ya nne ni utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi asilia. Hoja ya namna ya kugawana mapato ya rasilimali ya mafuta na gesi asilia yatakapopatikana. Maelezo yanatolewa na Balozi Joseph Sokoine ambae ni naibu katibu ofisi ya makamu wa Rais, Muungano na mazingira.

Balozi Sokoine: Ufumbuzi; Serikali zetu baada ya kujadiliana ziliamua kumtumia mshauri muelekezi, OPEC ya Uingereza ili atoe ushauri wa kitaalam kuhusu mgawanyo wa rasilimali ya aina hiyo kwa nchi za muungano. Kampuni ya OPEC ilikamilisha kazi hiyo na kuwasilisha mapendekezo kwa SMT na SMZ. Hata hivyo hoja nyingine ilijitokeza kwamba suala la mafuta na gesi asilia liondoshwe katika orodha ya mambo ya Muungano.

Baada ya majadiliano pande zote mbili zilikubaliana kuondoa masuala ya utafiti na uchimbaji wa mafuta na gesi asilia katika orodha ya mambo ya Muungano hivyo sheria ya mafuta namba 21 ya mwaka 2015 mamlaka ya kuanzisha vyombo vya kusimamia mafuta na gesi asilia kwa kutumia sheria ya Zanzibar.

Hoja ya tano ni utaratibu wa kikao vya kamati ya pamoja ya serikali ya mapinduzi Zanzibar na serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kushughulikia masuala ya Muungano.
========


Tanganyika imewakilishwa na nani?
 
Hivi mnafahamu lakini km hoja za Muungano zimepunguzwa Sana. Fwatilieni TBC mujue Mambo makubwa yaliyofanywa ya kupunguza hoja za Muungano


==
Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Tanzania zimekutana kutia saini makubaliano ya kuondoa hoja tano za Muungano ambazo zimeshapatiwa ufumbuzi

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Tanzania zimekutana kupiga saini makubaliano hayo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mussa Azzan Zunguwa amesema zipo hoja nyingine sita zimeshatatuliwa bado kufikia makubaliano

Zungu ametaja hoja zilizoondolewa ni Ushirikishwaji wa Zanzibar kwenye masuala ya kimataifa na kikanda, Ushiriki wa Zanzibar katika ushiriki wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, gharama ya kushusha mizigo kwenye bandari ya Dar es Salaam kwa mizigo inayotoka Zanzibar

Pia utafutaji na uchimbaji wa mafuta ya gesi asilia na utaratibu wa vikao vya kamati ya pamoja serikali ya mapinduzi ya zanzibar na serikali ya muungano ya kushughulikia masuala ya muungano
Hiyo ni kwa ajili yenu wengi hatuhitaji hata kuifuatilia
 
Mzizi wa tatizo ni muundo wa Muungano. Baaaasi!!!!!
 
..kwenye nchi za wenzetu makubaliano kama haya yasingesainiwa wakati huu siku 11 kabla ya uchaguzi mkuu.
Yote hii ni ghilba tu. Sikiliza barabara za Chake chake na Hospitali ya Mnazi mmoja. Yanatuhusu nini?
Halafu anatajwa Hussein Mwinyi, mgombea wa NEC bara kule Zanzibar.

Tume ya uchaguzi ilipaswa kuona jambo hili kama 'rushwa'' ya kisiasa kutokana na muda.
Hili si dharura ya nchi. Hivi akina Kabudi na Zungu wanakuwa na nguvu gani nje ya dharura?

Makubaliano hayana nguvu za kisheria. JK alifanya haya diamond kwa kuondoa mafuta na gesi na kuwaambia Wazanzibar wanaweza kwenda kukopa nje bila kupitia JMT.
Matokeo yake leo wanasaini yale yale aliyosaini JK Diamond kwasababu ni makubaliano tu si sheria.
 
Shamsi vuai yuko mwanakwerekwe,kwao huko
Dah! huyu Shamsa ni 'muumini wa muungano'' lakini pia anakubalika sana kwa utetezi wake upande wa Zanzibar
CCM- NEC Zanzibar wanamkubali sana na walijua ndiye chaguo lao.
Ilipofika machinjioni Dodoma, akaonekana ni 'kaidi' si mnyenyekevu kama mwana wa Mkuranga, ataleta tabu lete kapu tupa karatasi lenye jina kamwage taka ! Vuai katendewa ukatili sana na sijui kama ana hamu na Dodoma tena!
 
Serikali ngapi zilihudhuria huo mkutano?
Kwa muhtasari, hoja hizo ambazo hii leo zinasainiwa katika hati ya makubaliano kuziondoa katika zile hoja ambazo tayari zimeshapatiwa ufumbuzi ni pamoja na ushirikishwaji wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwenye masuala ya kikanda na kimataifa.

Hoja nyingine iliyopatiwa ufumbuzi ni ushiriki wa Zanzibar katika jumuiya ya Afrika Mashariki. Hoja ya tatu ni gharama za kushusha mizigo bandari ya Dar es Salaam kwa mizigo inayotoka Zanzibar.

Hoja ya nne ni utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi asilia. Hoja ya namna ya kugawana mapato ya rasilimali ya mafuta na gesi asilia yatakapopatikana. Maelezo yanatolewa na Balozi Joseph Sokoine ambae ni naibu katibu ofisi ya makamu wa Rais, Muungano na mazingira.

Balozi Sokoine: Ufumbuzi; Serikali zetu baada ya kujadiliana ziliamua kumtumia mshauri muelekezi, OPEC ya Uingereza ili atoe ushauri wa kitaalam kuhusu mgawanyo wa rasilimali ya aina hiyo kwa nchi za muungano. Kampuni ya OPEC ilikamilisha kazi hiyo na kuwasilisha mapendekezo kwa SMT na SMZ. Hata hivyo hoja nyingine ilijitokeza kwamba suala la mafuta na gesi asilia liondoshwe katika orodha ya mambo ya Muungano.

Baada ya majadiliano pande zote mbili zilikubaliana kuondoa masuala ya utafiti na uchimbaji wa mafuta na gesi asilia katika orodha ya mambo ya Muungano hivyo sheria ya mafuta namba 21 ya mwaka 2015 mamlaka ya kuanzisha vyombo vya kusimamia mafuta na gesi asilia kwa kutumia sheria ya Zanzibar.

Hoja ya tano ni utaratibu wa kikao vya kamati ya pamoja ya serikali ya mapinduzi Zanzibar na serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kushughulikia masuala ya Muungano.
========

 
Yaani huwaga sielewi hz Habari za Muungano. Nafikiri Wazanxibar wapewe Haki yao, wawe huru, FAIDA ya wao kuwa huru, fursa zitakuwa kubwa sana. Kwa ushirikiano wa kimataifa assume wanapeleka maafisa ubalozi nchi 50, maana yake zaidi ya wazanzibar 200 atakuwa ubalozini, bado kwenye madhirika ya Kimataifa, bado nk.
Kwanza uelewe umoja wa mataifa hujiungi bure ni pesa
Pili unaongelea kuwa fursa zitaongezeka hao wafanyakazi wa ubalozini 200 ni gharama kwa zanzibar mfano kila mmoja analipwa milioni 5 wastani hapo unaongelea shilingi bilioni moja kwa mwezi kwa mwaka ni bilioni 12 gharama kwa serikali ya Zanzibar hapo unaongelea mishahara tu hujaongelea gharama za ofisi zao

Unachosahau unaongelea ajira mpya zitakazopatikana unasahau ajira zitakazopotea!! MFANO kuna maelfu ya wazanzibari wanafanya kazi kwenye wizara za muungano mfano JESHI NA POLISI.muungano ukivunjika hao watafunga virago

Wafanyakazi kibao wataachishwa kazi muungano ukivunjika walio taasisi za umma na binafsi wa zanzibari sababu ajira halitakuwa tena swala la kimuungano kila mtu aende kwake na watakaobaki bara lazima wawe wale tu ambao ajira zao zitakuwa zile tu ambazo wazawa hawaziwezi.Hivyo jiandae kupokea ma jobless kibao zanzibar ambao wamejazana bara wengine wakiwa madereva wa daladala ,bajaj na bodaboda wengine utingo wengine mafundi pikipiki nk

WAko wengine kwenye taasisi za kimuungano hao nao wataondoka

Lakini pia unasahau wapemba waliojazana na wanamiliki ardhi ,biashara ,uvuvi na kilimo nk bara.Muungano ukivunjika nao itabidi wafunge virago sababu maswala hayo sio ya muungano.Wakihitaji itabidi sheria zinazotumika kwa raia wa kigeni zitumike ikiwemo kutoruhusiwa kumiliki ardhi au kufanya biashara ambazo wazawa waweza fanya.Watawekwa kundi moja na wakenya,waganda nk

Pili Zanzibar inategemea bara kwa chakula itabidi muanze kununua kwa pesa za kigeni kama wenzenu

Pia kuna swala la gharama za uendeshaji wa majeshi hizo zote zitaongezeka sana na kuwa kubwa kwenu mnunue midege ya kivita ,mivifaru nk ardhi yenyewe ndogo sijui hata hiyo midege mtapaki wapi
 
Back
Top Bottom