Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Hapa tu jukwaani anakubalika sana.na ndio maana hata mada zake zinafungwa mkono na wengi. Laki I pia hata kama humkubali Mheshimiwa Kafulila kwa chuki zako binafsi lakini ukienda na kukaa pembeni ni lazima ukubali ukweli kuwa Chuma ni jembe kwelikweliMfano ukichukua sampo hapa JF, Umeona jinsi ambavyo watu hawamkubali au hao wengi wapo wapi?
Mwandiko wa Kafulila tunaujua labda kama amekodi mtu.Umekuja kujipa promo uku JF,ili jina lako liwe kwenye teuzi.
Bure kabisa na hopeless
Kafulila ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.katika suala la kujenga hoja na uwezo mkubwa wa kiuongozi anastahili pongezi na kuungwa mkono.Mwandiko wa Kafulila tunaujua labda kama amekodi mtu.
Tunahitaji data analyist au systems analyst? Data si tunaitumia AI tu!! Inatupa majibu? Au nimeingia uwanja wa mpira na shoka???data analyst,
Kafulila hana time ya kuhangaika na jf kutwa nzima ni mtu mwenye majukumu mengi naaminiMwandiko wa Kafulila tunaujua labda kama amekodi mtu.
Vyote ni sahihi nadhani mkuuTunahitaji data analyist au systems analyst? Data si tunaitumia AI tu!! Inatupa majibu? Au nimeingia uwanja wa mpira na shoka???
KAFULILA najua hana mpango wa Urais,
2025 RAIS NI MMOJA TU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN.
View attachment 3012434
DuuuhBora wamchukue manara
SawaNi bora kumshauri mtu mwenye akili agombee. Au ndo wewe kafulila humu huwa unajipigia chapuo. Unajua we mkewe?
Upo sahihi kabisaKafulila hana time ya kuhangaika na jf kutwa nzima ni mtu mwenye majukumu mengi naamini
Mheshimiwa Kafulila anatetewa na kusemewa na kuungwa mkono na watu wengi nikiwepo mimi mwenyewe kutokana na uchapa kazi wake. Wala yeye sizani hata kama yupo humu jukwaani. Tuwe na utamaduni wa kuwaunga mkono WAZALENDO aina ya Mheshimiwa KafulilaMwandiko wa Kafulila tunaujua labda kama amekodi mtu.
Acha ujinga wako dogo. Mheshimiwa Kafulila ni jembe kwelikweli.atafaa sana katika nafasi hiyo.Hili jitu ni lijinga haswa huwezi kuliteua bora uteua marehemu kama alivyofanya maza maana hana watu wa kuteua na nafasi ipo wazi.
Daudi umeamua kujipigia promo sio ?View attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.
Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.
Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.
Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.
Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,
Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.
Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.
Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.
Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.
Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa
Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.
Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.
Itakuwa wewe ni mgeni humu jukwaani. Mbona mimi namuunga mkono sana Mheshimiwa kafulila.je na mimi ni Kafulila? Napenda kukwambia kuwa Mheshimiwa Kafulila anaungwa mkono na wengi kutokama na uzalendo wake pamoja na uchapakazi wake.lakini pia Mheshimiwa Kafulila ni mtu muadilifu sana.Daudi umeamua kujipigia promo sio ?
Kafulila ni sawa kabisa anaweza kupambana hasa na UpinzaniView attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.
Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.
Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.
Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.
Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,
Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.
Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.
Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.
Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.
Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa
Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.
Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.
Eti mimi mgeni.Angalia nimejiunga lini JF.Itakuwa wewe ni mgeni humu jukwaani. Mbona mimi namuunga mkono sana Mheshimiwa kafulila.je na mimi ni Kafulila? Napenda kukwambia kuwa Mheshimiwa Kafulila anaungwa mkono na wengi kutokama na uzalendo wake pamoja na uchapakazi wake.lakini pia Mheshimiwa Kafulila ni mtu muadilifu sana.
Kafulila ndio nani?View attachment 3010881
===
Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania.
Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo lazima ajue karibu Kila kitu kinachomzunguka Rais Kwa mapana yake.
Kazi ya Mkurugenzi wa IKULU sio kusema tu Rais amekwenda Korea Kwa ziara na kutuma picha NO, Ni zaidi ya hayo.
Mkurugenzi wa IKULU kazi yake ni kuonesha faida ya hiyo ziara kitakwimu , Matumizi na kila faida iliyopatika kitakwimu huku akiwa na rejea mbalimbali za anachokisema.
Msemaji wa IKULU lazima aijue vizuri Tanzania ikiwa ni pamoja na Mila na desturi za Kila kundi,
Msemaji wa IKULU lazima aweze kufanya propaganda vizuri hasa Political Numbers hii hapa lazima aiweze sawa sawa.
Msemaji wa IKULU lazima awe source ya habari nyingi hapa ndani ya nchi na ajue vizuri kuitumia media ya local na internation media.
Msemaji wa IKULU lazima ajifunze kusema uongo Mtakatifu hasa pale anapogundua boss wake kateleza kimatendo au kimaneno.
Msemaji ya IKULU anapashwa kuwa na maarifa zaidi ya Kiuchumi na kisiasa kwani ndio agenda kubwa za Taifa hili.
Huyu David Kafulila pamoja na kwamba sio Msemaji wa IKULU ila anaitetea Serikali kwa kiasi kikubwa
Mtakubaliana na mimi kama kweli tunataka habari za IKULU zipate nguvu mbele ya umma wa Watanzania hakuna namna tutamkwepa Kafulila kwa sasa.
Kwa mtazamo wangu Kafulila ndio kijana pekee asiye Mbunge Wala Waziri anayeweza kuwa Msemaji wa IKULU kwa wakati huu ili kuifanya IKULU kutoka kuwa reporter wa habari mpaka kuwa source wa habari.
Unaweza ukawa imejiunga muda lakini ukawa huna uelewa wa mambo. Ni sawa na mwanafunzi aliyekaa miaka minne shule na akaambulia kupata sifuri.Eti mimi mgeni.Angalia nimejiunga lini JF.
Hata Mimi nimeshangaa eti naambiwa nimejiunga Leo tu,Unaweza ukawa imejiunga muda lakini ukawa huna uelewa wa mambo. Ni sawa na mwanafunzi aliyekaa miaka minne shule na akaambulia kupata sifuri.
Wewe huna unalolijua.Ninamjua vizuri tokea huyu Kafulila akiwa Chadema akaja hamia NCCR akataka Fukuzwa akamlilia machozi Mbatia.Unaweza ukawa imejiunga muda lakini ukawa huna uelewa wa mambo. Ni sawa na mwanafunzi aliyekaa miaka minne shule na akaambulia kupata sifuri.