Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Watu wengine hawajitambui kabisaOna huyu naye. Wewe je, uraia wako hauna hayo mashaka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wengine hawajitambui kabisaOna huyu naye. Wewe je, uraia wako hauna hayo mashaka?
Watu wengine hawajitambui kabisaOna huyu naye. Wewe je, uraia wako hauna hayo mashaka?
Acha ujinga wako hapa wewe vna uzushi wa kitoto tu. Unachopaswa kuelewa ni kuwa Mheshimiwa Kafulila anakubalika sana na watanzania wengi sana ndio maana unaona akiungwa mkono na watu wengi .
Wakiishiwa hija wanaanza kutapa tapa hovyo. Hii ni kwa wanaogopa uwezo mkubwa alionao Mheshimiwa KafulilaMimi sio Kafulila wewe jadili hoja acha maneno maneno
Wakiishiwa hija wanaanza kutapa tapa hovyo. Hii ni kwa wanaogopa uwezo mkubwa alionao Mheshimiwa KafulilaMimi sio Kafulila wewe jadili hoja acha maneno maneno
Alishindwaje? Hufahamu kuwa ni yeye akiwa RC Simiyu alipaisha Bei ya pamba kufikia 2200 kwa kilo,Bei ambayo haijawahi kutokea tangia tupate uhuru? Hujuwi ni chuma Kafulila ndio aliweka rekodi hiyo ambayo haijavunjwa?Ukuu wa mkoa ulimshinda, sembuse Ikulu?
Ni kiongozi mzalendo, Mchapa kazi na makini sana ndio maana unaona anazungumzwa na kuungwa mkono na watu wengi sanaKafulilaa kafulilaaa...
What's wrong!?
Siyo kelele za Kafulila bali ni kelele na kiu ya watanzania kuona chuma Kafulila akiaminiwa na kupewa ukurugenzi wa mawasiliano ya Rais ikuluKelele za kafulila zimezidi
Watu na wananchi ndio tunaompigia debe Mh Kafulila na wala siyo yeye anayejipigia debe. Watu tunavutiwa na uchapa kazi wakeKafulila unajitahidi Sana kujipigia debe. Urithiki na ulicho nacho.
Ameshaacha kuropoka? Ile nafasi ni nyeti sana.Siyo kelele za Kafulila bali ni kelele na kiu ya watanzania kuona chuma Kafulila akiaminiwa na kupewa ukurugenzi wa mawasiliano ya Rais ikulu
MwiguluUkiacha huyo Kafulila, ni nani mwingine chaguo lako?
Uko sahihiWatu na wananchi ndio tunaompigia debe Mh Kafulila na wala siyo yeye anayejipigia debe. Watu tunavutiwa na uchapa kazi wake
tuAcha ujinga wako hapa wewe vna uzushi wa kitoto tu. Unachopaswa kuelewa ni kuwa Mheshimiwa Kafulila anakubalika sana na watanzania wengi sana ndio maana unaona akiungwa mkono na watu wengi .
Huyu huyu two2? Au kuna Kafulila mwingine..Sio tu Kafulila anafaa kwa nafasi hiyo bali jamaa ni kiraka. Binafsi David Kafulila ni one of my role models…
Jamaa hata nafasi ya PM anaimudu, sababu kuwa leader ni zaidi ya weledi bali lqzima pia uwe political strategist.
Ila machawa mko na roho ngumu sana, yaani unapata guts za kumwita Mheshimiwa kabisa?Kwa hiyo kwa akili yako unafikiri Mheshimiwa Kafulila atashindwa kufanya mahojiano na CNN
Uki connect dots unagundua kuwa wewe na Lucas ni aina mojaKafulila anawapa shida sana hawa BAVICHA
Huyu ni chawa msaidizi wa LucasJoined May 29. Mnalipwa kiasi gani kwenye uchawa uko?
Nikuambia ukweli kuwa Kafulila katumia njia mbaya ya kuwatumia nyie machawa, kama kweli anaitaka hiyo nafasi angekaa kimya tu. Angalia comments za wadau na jiulize hata kama ungekuwa wewe ungemteua hiyo nafasi? Huoni kama mmemvua nguo bila kujua mkidhani mnamchawia.Wivu tu unawasumbua wengine. Lakini moyoni wanajuwa kuwa David Kafulila ni jembe na ataiweza vyema sana nafasi hiyo .
Sio kijana ana miaka mingapi?
Kafulila anao uwezo hata kama ni Mzee ila bado uwezo wake ni mkubwa