Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ile ile dhana ya hapa kazi. Inatakiwa kila sehemu kazi zisisimame kwa ajili ya picha ya Rais. Mwenyewe Magufuli angeona angependa sana urithi aliouacha.Mbona fasta sana hata mzee hajasitiriwa bado. Dah mtu akishafariki hana lake tena
Watengeneze nyengine haraka atoe hiyo rangi ya mdomo.Watakaomuona wasianze kummezea mate badala ya kumheshimuPicha Rasmi ya Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inayotakiwa kubandikwa Kwenye Ofisi mbalimbali. MwenyeziMungu amtunze Rais Wetu
View attachment 1732488
Mambo harakaharaka hakuna kurembaMbona fasta sana hata mzee hajasitiriwa bado. Dah mtu akishafariki hana lake tena
Hatari bimdashMama macho
Awamu ya 5Ila Masudi kipanya kampatia sana kumchora kama kikatuni
Hivi ni Rais wa awamu ya ngapi?
Leta Picha kipindi akiwa Rais.
Ndo umewaza mpaka hapoMagufuli ndio basi tena,haya makelele ya shujaa hayatadumu hata nusu mwaka. Anasauhulika kama wanampenda sana wangemuacha aendelee kutawala kama malaika
Naona roho iliyokuwa inamkimbiza Magu mara2 kwa Huyu mama Samia SH! Magu hatasahaurika! Mama huyu Ndio tutambadirishia katiba aongoze kwa 20 years kutokana na spirit iliyokuwa ikimuonvoza Magufuli inayo'muongoza kiutendajj! Mungu amlinde,amuongoze, na ambariki rais wetu mpendwa Mh Mama Samia SH, na serikali yetu yote! Mungu azidi ibariki Tanzania, amen🙏🙏🙏!Kutokana na mambo ya mfumo dume uliokithiri inawezekana Madame President akaongoza kipindi kimoja pia.
Rais wangu anatumacho chocolatePicha Rasmi ya Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inayotakiwa kubandikwa Kwenye Ofisi mbalimbali. MwenyeziMungu amtunze Rais Wetu
View attachment 1732488
Mbona yeye alimteua Mwigulu kabla ya Mahiga kuzikwa? Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga.Mbona fasta sana hata mzee hajasitiriwa bado. Dah mtu akishafariki hana lake tena