IKULU: Rais Magufuli amteua Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

Alimsahau na kumgeuka kivipi mkuu?
 
Mimi ombi langu ni moja tu! Ikifika hiyo 2025, namuomba sana huyu Mzee aheshimu Katiba aliyo apa kuilinda na aziheshimu pia zile kauli zake alizo zitoa hadharani, za kuto jiongezea hata siku moja tu ya kuendelea kutawala baada tu ya mhula wake kufikia kikomo!

Kiukweli wafanyakazi (tulio wengi) TUMEMCHOKA!😊
 
Interesting..
Sasa njia nyeupe Kwa Rais kuwa wa wa maisha
 
Mkuu Fundi Madirisha uko sahihi.

NA HATA DOGO POLE POLE KUPEWA UBUNGE WANATAKA 2022 VIKAO VYAO WAJE NA SAFU MPYA ILI MCHAKATO WA KUMUONGEZEA MUDA HUYU PAA PAAA MKULU MZEE YA chato, UANZIE CHAMANI.
NDIO UINGIE BUNGENI.......!

Tuta shuhudia mengi,

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
What a wishful thinking - mnayo mtabiria Bashiru haya tatokea - atafanya kile Muumba wake aliye mleta Duniani alimu-preprogram afanye before joining his MAKER.

Wengi wenu mnatujia na stori za kutunga tu, mkiwa na lengo la kutaka ku-draw a wedge kati ya Dk.Bashiru na Dk. Magufuli eti Bashiru ameondolewa kwenye ukatibu mkuu wa CCM na kupelekwa Serikalini ili kuondoa mtu ambaye alikuwa hakubaliani na mapendekezo ya watu kutaka Dk. Magufuli aongeze term ya kuongozainchi indefinitely! Lini Dk. aliwahi kusema anataka kuongeza hata sekunde moja term yake ya pili ukifika tamati - wapi?

Wengine mnachukulia kuteuliwa kwa Dk. Kakurwa katika wadhifa wa Katibu Mkuu Kiongozi kama ni demotion vile, wengine wanapendekeza kufungua kesi Mahakamani wakipinga kwamba uteuzi wake umekihuka katiba, would you believe it! Wakati mwingine unaona wazi wazi kwamba baadhi ya Watanzania hasa wapinzani uchanganyikiwa sana wakiona Dk.Magufuli anapanga safu ya makamanda wenye uzalendo wa kweli wa kumsaidia katika azma yake ya kweli ya kutaka kuendeleza Taifa letu, wanatamani sana ashindwe miserably, ili mwisho wa siku wa-rejoice wakisema kiko wapi?? Ma sadist wa type hiyo wapo sana,we jaribu kupitia skewed comments zao herein ndio utagunduwa ninacho kisema mimi.
 
Mkuu mh rais hatakiwi kuongeza mda , hatuwezi sema mh jpm kwamba ndo bora zaidi kuliko watanzania wote ml hamsin, mh jpm ogopa Sana wanaokupamba malizia kipindi Chako kapumzike mkuu ,ukafulaie matunda ya kustaafu, na Mambo yako uliofanya Kama mkuu wa nchi yatabaki salama tu ikiwa nchi utaicha mikononi mwa chadema,huu ndo ukweli ccm wengi ni majizi,leo unapata tabu kwenye utawala wako kutokana na baadhi ya wanaccm waliokutangulia kuwa majizi, Kama wataka endelea badili mtazamo jiunge na chadema then gombea pitia chadema, huko utakutana na mawazo mapya, na mtazamo MPYA ,wenda mkuu ukawa kiongozi mzuri ila hicho chama Chako Cha Sasa kimeoza Sana,vinginevyo step down
 
Mkulu kadhamiria kufanya yake.kadri atakavyo.tumuombe mungu atuepushie balaa lijalo.
 
Bukyanagandi, to say the least, you're either naive or a fool. Bashiru wako tunamtakia mema. That's why we're worried. He's in the wrong group. Nadhani wewe kwa kupenda mkulu huoni hatari yoyote. Kiasi tunaona humpendi Bashiru. Aliishakosea kukubali ukatibu mkuu. Sasa anajua siri nyingi za chama. Hata aliyetaka kumuua Mang'ula na kwa nini. Tuliambiwa atatafutwa ndani na hata nje ya nchi. Ya wapi? Bashiru kwa sasa kutoka ni muhali.
Jikumbushe alivyotumbuliwa Gambo na alivyopigiwa kampeni. Ukistaajabu ya Musa bado kuna pia ya Firauni. Unatarajia siku moja akwambie anataka kuendelea. Aliishasema. Wasomao barua ndani ya bahasha waliishamaizi. You're naïve or a fool. That's not for your comprehension?
 
Mnahesabu siku kama watoto wa boarding school...Hatoki mtu mpaka kieleweke...Kizazi cha mafisadi kikishaisha ndiyo ataondoka...Kwasasa we jiandaye tu ki saikolojia...Habari ndiyo hiyo!
 
Mnahesabu siku kama watoto wa boarding school...Hatoki mtu mpaka kieleweke...Kizazi cha mafisadi kikishaisha ndiyo ataondoka...Kwasasa we jiandaye tu ki saikolojia...Habari ndiyo hiyo!
Sasa mbona na yeye mwenyewe ni fisadi!
 

Dah; shida kweli kweli. Bila shaka watu wenye mfumo wa kufikiri kama wa Trump na wafuasi wake mpo wengi sana!

Unazijua sifa zinazotakiwa kwa mtu kuteuliwa kuwa Chief Secretary? Hivi mtu ambaye hayumo katika Civil Service anapataje sifa za kuteuliwa bila kwanza kuingizwa kwenye Civil Service?
 
Mkuu, upo sahihi kwa %101

Hata hivyo tayari alikuwa anayo DP.
 
Mnahesabu siku kama watoto wa boarding school...Hatoki mtu mpaka kieleweke...Kizazi cha mafisadi kikishaisha ndiyo ataondoka...Kwasasa we jiandaye tu ki saikolojia...Habari ndiyo hiyo!
Mbona magu mwenyewe ni fisadi? Hivi kile kivuko kiliishia wapi? Vipi nyumba za serikali?
 
Ameshazoea Ikulu teyari, sasa anasubiria kuapishwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…