The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko hivyoKwa hiyo anakuwa Katibu Mkuu wa Chama na Katibu Mkuu Kiongozi kwa wakati mmoja au anaacha kuwa katibu mkuu wa CCM?
Vipi kuhusu muongozo wa utumishi serikalini unaotenganisha mambo ya chama na utumishi wa umma serikalini?
Hata kama atajiuzulu Ukatibu Mkuu CCM, huu uteuzi unaonesha kwamba utumishi serikalini unaenda kupelekwa kichama chama zaidi.
Muambieni tu hiyo nafasi aliyoteuliwa siyo ya kuvaa yale mashati yake ya kijani.Kamanda dogo acha kulalama
Najiuliza sipati jibuHuo Ubalozi amempa ili wasifu uendane na Marehemu Kijazi ?
Siku hizi utumishi wa Umma lazima uwe mwana CCMKwa hiyo anakuwa Katibu Mkuu wa Chama na Katibu Mkuu Kiongozi kwa wakati mmoja au anaacha kuwa katibu mkuu wa CCM?
Vipi kuhusu muongozo wa utumishi serikalini unaotenganisha mambo ya chama na utumishi wa umma serikalini?
Hata kama atajiuzulu Ukatibu Mkuu CCM, huu uteuzi unaonesha kwamba utumishi serikalini unaenda kupelekwa kichama chama zaidi.
Amepanda au ameshuka ?Kongole Dr. Bashiru Ally Kakurwa kwa heshima kubwa uliyokabidhiwa na Dr. John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Endelea kulitumikia taifa vyema.
Nafasi Mbili kwa mpigo.Balaa, chama kinashika hatamu sasa ya uongozi wa Taifa.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi amteua Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Pia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi amemteua Katibu Mkuu Kiongozi kuwa Balozi.
Katibu mkuu kiongozi ndo sawa na White House Chief of Staff?Kwa hiyo anakuwa Katibu Mkuu wa Chama na Katibu Mkuu Kiongozi kwa wakati mmoja au anaacha kuwa katibu mkuu wa CCM?
Vipi kuhusu muongozo wa utumishi serikalini unaotenganisha mambo ya chama na utumishi wa umma serikalini?
Hata kama atajiuzulu Ukatibu Mkuu CCM, huu uteuzi unaonesha kwamba utumishi serikalini unaenda kupelekwa kichama chama zaidi.
Ubalozi wa Tanzania siku hizi umeshuka thamani sana, usishangae hata Msigwa akateuliwa Balozi.Huo Ubalozi amempa ili wasifu uendane na Marehemu Kijazi ?
Hamna katiba, JK aliifungia kabatini wakati anaondoka Ikulu mwaka 2015.Katiba inasemaje?