Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana... Chief of Staff analingana na Katibu wa Ikulu hapa Tanzania. Chief Secretary US hawana, ipo sana Commonwealth countries. CS ni mkuu wa Civil Service, naamini itabidi aachie ukatibu CCMKatibu mkuu kiongozi ndo sawa na White House Chief of Staff?
Kama ni sawa, tatizo liko wapi endapo Rais aliyepo madarakani atamteua mtu kutoka kwenye chama chake?
Shukran jazilan.Hapana... Chief of Staff analingana na Katibu wa Ikulu hapa Tanzania. Chief Secretary US hawana, ipo sana Commonwealth countries. CS ni mkuu wa Civil Service, naamini itabidi aachie ukatibu CCM
Kwenye sheria kuna msemo, justice must not only be done, it must also seem to be done.Kama ataachana na siasa kwa kuacha kuwa katibu mkuu wa CCM, nini mbaya?
Magufuli kakiuka katiba kwa kumteua?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣😂😂😂😂😂yuko Twitter Mkuu anafanya yake. Sauti yake inafika mbali kuliko ITV, TBC, AZAMTv combined.
Awamu ya 5 katiba ni mdomo wa raisi tuKatiba inasemaje?
Sijaelewa mantiki ya kuteuliwa kuwa katibu mkuu na hapo hapo kuteuliwa kuwa balozi
Atatumikia kipi kati ya hivi viwili?
Unajua hata Msemaji wa Serikali ana vyeo viwili. Kingine ni Katibu mkuu wizara ya habariNafasi Mbili kwa mpigo.
Halafu utasikia anasema vijana mjiajiri!
Mitano tenaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kila mtu hula madhabauni kwake, ukifika zamu yangu mnistue.
View attachment 1712543Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Katibu Mkuu Kiongozi)
Na hii ndiyo message iliyotumwa hapa loud and clear.Siku hizi utumishi wa Umma lazima uwe mwana CCM
Kama ataachana na siasa kwa kuacha kuwa katibu mkuu wa CCM, nini mbaya?
Magufuli kakiuka katiba kwa kumteua?
Utaishia kuwatangaza wenzako wakati wewe unabakia hapo kwenye geti huku ukiwafungulia wenye wakubwaView attachment 1712543Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Katibu Mkuu Kiongozi)
Katiba imevunjwa?