Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Katibu Mkuu Kiongozi na wakati huo huo Balozi? Kivipi? Ataiwakilisha nchi kwenye nchi gani? Mbona kuna utata hapa? Tafadhali fafanulieni kabla wananchi hawajahoji!!!View attachment 1712543Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Katibu Mkuu Kiongozi)