Hapo amemsokomeza Dr.Bashiru kuwa civil servant na foreign service office kwa wakati mmoja.Kuna kipindi nilikuwa nafikiri Magufuli anaharibu mambo kwa ushamba tu, kwa ujinga, kwa kutojua, kwa ubishi, na kwa kutosikiliza watu..
Magufuli amekaa serikalini muda mrefu lakini inaelekea hajui jinsi civil service inavyoongozwa na miiko yake.
Ndio maana tulikuwa tunashuhudia wanajeshi wanateuliwa makatibu wakuu wa wizara mbalimbali.