๐๐๐๐๐Kwi Kwi Kwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Kwi Kwi Kwi
Juzi kanisani St. Peters alisema siku moja ina masaa 48.Duh! Najua unajua, ila unataka kujua zaidi.
Hakuna wa kumfananisha na "jiwe" nchi hii, yeye yuko kivyake vyake ilimradi tu aweze kuandika historia mpya
Na ndiyo maana kaanzisha somo la historia ili naye pia aandikwe katika vitabu kama wakina chief Mkwawa, Mirambo n.k.
Lol! Yajayo yanafurahisha.
Salum Mwalimu ndiyo nani? Simjui.Ulitaka katibu mkuu kiongozi awe salum mwalimu?
Anyone from Civil ServiceWe ulitaka ateuliwe nani?
Ataachanaje na siasa wakati hicho cheo kapewa kwa sababu ya kisiasa?Kama ataachana na siasa kwa kuacha kuwa katibu mkuu wa CCM, nini mbaya?
Magufuli kakiuka katiba kwa kumteua?
Hongera kwa Dr Bashiru kwa kuaminiwa na Rais sasa akalitumikie taifa ipasavyo.View attachment 1712543Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Katibu Mkuu Kiongozi)
Kila mtu hula madhabauni kwake, ukifika zamu yangu mnistue.
Nafasi yoyote ya chama cha kisiasa ni nafasi ya kisiasa by definition. Hata nafasi ya utendaji ndani ya chama ni nafasi ya utendaji katika muktadha wa kisiasa.Katibu mkuu wa chama( General Secretary) sio nafasi ya kisiasa, ni nafasi ya utendaji ndani ya chama husika
Kumbuka kabla ya kuteuliwa na NEC ya halmashauri kuu ya CCM taifa kuwa katibu mkuu wa CCM, Dr Bashiru Ally alikuwa ni mwalimu mwandamizi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam ( mtumishi wa umma)
Gombea na wewe urais halafu ukishinda utapata halali ya kuteua watu uonao wanafaa.Anyone from Civil Service
Check History ya Kijazi...
Naona you are getting personal sasa. Tuishie hapoGombea na wewe urais halafu ukishinda utapata halali ya kuteua watu uonao wanafaa.
I donโt even know you! Canโt get personal.Naona you are getting personal sasa. Tuishie hapo
Wivu wa hapo ufipaniii utakumalizaTatizo la Bashiru ni kuacha itikadi alizokuwa anazisimamia akiwa mwalimu pale udsm na kugeuzwa mfuasi wa kuvunja Haki za binadamu kwa maslahi ya CCM.
You are missing the context with regards to El Chapo.El Chapo ni muuza madawa ya kulevya.
El Chapo si Mtanzania. Ni raia wa Mexico..
We ulitaka ateuliwe nani?
Kwa kweli huyu Bwana hatoki, huyu tunaye mwanzo mwisho ๐Stoney Tangawizi sidhani kama atatoka baada ya 2025, huyu tunaye sana
Jiwe anataka kudistabilize system ili afanye lolote atakalo maana system itakua vulnerable.Kuna kipindi nilikuwa nafikiri Magufuli anaharibu mambo kwa ushamba tu, kwa ujinga, kwa kutojua, kwa ubishi, na kwa kutosikiliza watu...
Tulieniii tuwajengeee taifa takatifuu.Kwi Kwi Kwi