MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Let's discuss issues if we can.... Ni kuelimishana tu, diverging to kagombee tena wapi na wapi.I don’t even know you! Can’t get personal.
Just keeping it a buck.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Let's discuss issues if we can.... Ni kuelimishana tu, diverging to kagombee tena wapi na wapi.I don’t even know you! Can’t get personal.
Just keeping it a buck.
Kabisa, mimi mwanzo nilifikiri anafanya hivyo kwa ushamba, ujinga, kutojua.Nikaja kuona kuwa huu ni mkakati mahususi.Jiwe anataka kudistabilize system ili afanye lolote atakalo maana system itakua vulnerable.
Miiko na taratibu zinavunjwa makusudi hakuna wa kuhoji. Anateua watu wasio na taaluma husiki kushika nafasi nyeti ili awe na nguvu ya kuamua kila kitu
Ni maksudi ili kudistabilize system apate upenyo wa kuamua atalako maana system itakua weak...nadhani watu wanashangaa kwamba Raisi amekwenda kinyume na utamaduni wa kuteua ma-chief secretary...
Rejea Gavana wa BoT ambaye ni mwanasheria na hana taaluma wala backgroud ya uchumi na fedha..lengo lake lilikua nn?..nadhani watu wanashangaa kwamba Raisi amekwenda kinyume na utamaduni wa kuteua ma-chief secretary...
I don’t see what I’m missing!You are missing the context with regards to El Chapo.
El Chapo ndo umemwona hawezi kukubalika na wote?Nimekuuliza hivi, kwa kuwa hakuna mtu ambaye anakubalika na watu wote, basi ni sawa Rais amteue El Chapo, muuza madawa ya kulevya, raia wa Mexico, mfungwa aliye gerezani Marekani?
Nimemchagua El Chapo kama mfano to make a very specific point hapa.
Please do not miss the point.
Yeah hiyo ni linking pin kati ya chama na serekali. Nadhani tupo kwenye mfumo wa chama kimoja tayari ama nasema uongo ndugu zangu!Kuna kipindi nilikuwa nafikiri Magufuli anaharibu mambo kwa ushamba tu, kwa ujinga, kwa kutojua, kwa ubishi, na kwa kutosikiliza watu...
Ok, so there is no big deal then....or is there?..nadhani watu wanashangaa kwamba Raisi amekwenda kinyume na utamaduni wa kuteua ma-chief secretary.
..kilichotokea naweza kukifananisha na mtu is not an academic halafu ateuliwe kuwa VC ktk chuo kikuu.
..iliwahi kutokea huko nyuma lakini kwa muda mrefu ma-VC wamekuwa na watu waliolelewa kama wahadhiri ktk vyuo vikuu.
Mungu atamjalia kukabiliana nayo!Mpeni pole kwani huko anakokwenda atakayokutana nayo ni ya kuhuzunisha muda si mrefu!!!
Ok, so there is no big deal then....or is there?
Katibu mkuu kiongozi ndo sawa na White House Chief of Staff?
Kama ni sawa, tatizo liko wapi endapo Rais aliyepo madarakani atamteua mtu kutoka kwenye chama chake?
Ana mashati yake ya kijani hana shidaBashiru ni moja ya wahaya wachache wasiojua kuvaa kabisa. Hii nafasi hatoiweza
Wewe unamkubali El Chapo kuwa Katibu Mkuu Kiongozi Tanzania?I don’t see what I’m missing!
El Chapo is a criminal. Bashiru as far as I know, is not.
El Chapo ndo umemwona hawezi kukubalika na wote?
Nafasi yoyote ya chama cha kisiasa ni nafasi ya kisiasa by definition. Hata nafasi ya utendaji ndani ya chama ni nafasi ya utendaji katika muktadha wa kisiasa.
Maana yake, Katibu Mkuu wa Chama atakuwa mtendaji katika kueneza itikadi ya Chama, hivyo hiyo ni nafasi ya kisiasa.
Katibu Mkuu Kiongozi ni mtu anayeongoza watumishi wa umma ambao hawana open affiliation na chama chochote.Na yeye anaongoza kwa maadili ya utumishi wa umma yanayokataza ushabiki wa vyama.
Sasa Bashiru aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM aende kuongoza utumishi wa umma na kukataza ushabiki wa vyama?
Kumfanya Katibu Mkuu wa CCM kuwa Katibu Mkuu Kiongozi ni kama kumfanya Kocha wa Yanga ajiuzulu ukocha wa Yanga, halafu aende kuwa refa katika mechi ya Simba na Yanga!
Simkubali.Wewe unamkubali El Chapo kuwa Katibu Mkuu Kiongozi Tanzania?
Mara paaap, El Chapo kaoewa diplomatic immunity ya ubalozi wa Tanzania!
Si kazi ya kuuza sembe hiyo
Kama Mtanzania yupi ambaye unaona anafaa? Mtaje tumuone tafadhaliHivi hakuna watanzania wengine wenye sifa ya kushika hiyo post?
Naona Magu anacheza na hao hao makada waaminifu wa CCM!
Mara kampa ubunge Polepole, wakati akiendelea kushika nafasi yake ya ukatibu mwenezi wa CCM!
Hii nchi kweli yule aliyenacho huongezewa na yule ambaye hana, hata kile kidogo atapokonywa!
Daah...mambo yanakwenda kwa kasi sana....Kumfanya Katibu Mkuu wa CCM kuwa Katibu Mkuu Kiongozi ni kama kumfanya Kocha wa Yanga ajiuzulu ukocha wa Yanga, halafu aende kuwa refa katika mechi ya Simba na Yanga!
Hajui kuvaa kivipi? Huwa anavaa mashati nje ndani?Bashiru ni moja ya wahaya wachache wasiojua kuvaa kabisa. Hii nafasi hatoiweza