IKULU: Rais Magufuli amteua Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

IKULU: Rais Magufuli amteua Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

Duh! Najua unajua, ila unataka kujua zaidi.

Hakuna wa kumfananisha na "jiwe" nchi hii, yeye yuko kivyake vyake ilimradi tu aweze kuandika historia mpya
Na ndiyo maana kaanzisha somo la historia ili naye pia aandikwe katika vitabu kama wakina chief Mkwawa, Mirambo n.k.
Lol! Yajayo yanafurahisha.
Juzi kanisani St. Peters alisema siku moja ina masaa 48.

Tena si kwa kukosea mara moja tu. Kapiga hesabu ndefu kwamba barakoa moja inavaliwa kwa masaa manne, siku moja ina masaa 48, kwa siku mtu anahitaji barakoa 12.

Sasa huyo mtu mzima kweli?
 
We ulitaka ateuliwe nani?
Anyone from Civil Service

Check History ya Kijazi

1614361973193.png


Ombeni Sefue

1614361913292.png


Luhanjo

1614361948968.png


Lumbanga

1614362275925.png
 
Kumbe ukiwa katibu mkuu wa ccm una qualify kuwa KMK, sidhani hata chuo kikuu amewahi kukamata wadhifa wa juu kwenye utawala, mfano vice-chancellor au deputy vice chancellor....naona uchama chama umehamia kwenye utumishi wa umma, watumishi jiandaeni kununua mashati ya kijani, au nasema uongo...
 
Katibu mkuu wa chama( General Secretary) sio nafasi ya kisiasa, ni nafasi ya utendaji ndani ya chama husika

Kumbuka kabla ya kuteuliwa na NEC ya halmashauri kuu ya CCM taifa kuwa katibu mkuu wa CCM, Dr Bashiru Ally alikuwa ni mwalimu mwandamizi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam ( mtumishi wa umma)
Nafasi yoyote ya chama cha kisiasa ni nafasi ya kisiasa by definition. Hata nafasi ya utendaji ndani ya chama ni nafasi ya utendaji katika muktadha wa kisiasa.

Maana yake, Katibu Mkuu wa Chama atakuwa mtendaji katika kueneza itikadi ya Chama, hivyo hiyo ni nafasi ya kisiasa.

Katibu Mkuu Kiongozi ni mtu anayeongoza watumishi wa umma ambao hawana open affiliation na chama chochote.Na yeye anaongoza kwa maadili ya utumishi wa umma yanayokataza ushabiki wa vyama.

Sasa Bashiru aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM aende kuongoza utumishi wa umma na kukataza ushabiki wa vyama?

Kumfanya Katibu Mkuu wa CCM kuwa Katibu Mkuu Kiongozi ni kama kumfanya Kocha wa Yanga ajiuzulu ukocha wa Yanga, halafu aende kuwa refa katika mechi ya Simba na Yanga!
 
Upuuzi wote wa siasa za ujamaa uchwara, sasa rasmi Unahamia serekalini.
 
El Chapo ni muuza madawa ya kulevya.

El Chapo si Mtanzania. Ni raia wa Mexico..
You are missing the context with regards to El Chapo.

Nimekuuliza hivi, kwa kuwa hakuna mtu ambaye anakubalika na watu wote, basi ni sawa Rais amteue El Chapo, muuza madawa ya kulevya, raia wa Mexico, mfungwa aliye gerezani Marekani?

Nimemchagua El Chapo kama mfano to make a very specific point hapa.

Please do not miss the point.
 
We ulitaka ateuliwe nani?

..nadhani watu wanashangaa kwamba Raisi amekwenda kinyume na utamaduni wa kuteua ma-chief secretary.

..kilichotokea naweza kukifananisha na mtu is not an academic halafu ateuliwe kuwa VC ktk chuo kikuu.

..iliwahi kutokea huko nyuma lakini kwa muda mrefu ma-VC wamekuwa na watu waliolelewa kama wahadhiri ktk vyuo vikuu.
 
Kuna kipindi nilikuwa nafikiri Magufuli anaharibu mambo kwa ushamba tu, kwa ujinga, kwa kutojua, kwa ubishi, na kwa kutosikiliza watu...
Jiwe anataka kudistabilize system ili afanye lolote atakalo maana system itakua vulnerable.

Miiko na taratibu zinavunjwa makusudi hakuna wa kuhoji. Anateua watu wasio na taaluma husiki kushika nafasi nyeti ili awe na nguvu ya kuamua kila kitu
 
Back
Top Bottom