Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
Hi ndio inaitwa fukua fukua united; hongera kwa ufukuaji wa makaburi; anyway kama kuna mtu aliyepita Mtera then anaweza kuelewa ni kwanini walimchagua Lusinde kua mbunge wao; Mtera ni full masikini, ina nuka UMASIKINI mno and hope na UJINGA as well; Lusinde ingekua alizaliwa kwenye mikoa iliopiga hatua sidhani kama hata UDIWANI angepata, ndege wenye manyoya yanayo fanana huruka pamoja, that's it