Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

Ni bahati nzuri kuwa uongozi hautegemei miguu na mapafu bali utimamu wa akili na uwezo wa kupambanua mambo na kufanya maamuzi sahihi. Kama ingekuwa kukimbia ndiyo kigezo sidhani kama katika wote walioko madarakani kama kuna ambaye angestahili kukaa kwenye nafasi yoyote ile, haswa kwa sababu wengi wao ni wagonjwa. Kwa hiyo kama utaliangalia hilo kwa mapana stahiki ni wazi aliyelizungumza amekurupuka tu, ni mropokaji wa kawaida au ana uelewa mdogo wa kuchanganua mambo hasa kutokana na uwezo wake wa kufikiri na kufanya upembuzi yakinifu. Kwa hiyo ningeshauri kauli kama hizo ZIPUUZWE TU.

Pia siyo vizuri kulifumbia macho tatizo la uongozi wa sasa ambapo nchi ina-colapse kiuchumi, kiutamaduni na kijamii. Mifano ichukuliwe kwenye elimu na sera yake, Uchumi wetu na hali ya sarafu ya taifa, hali ya vipato vya wananchi na bei za bidhaa! hii ni sawa na kusema hata hao mnaofikiri wako sawa kuongoza wamefeli.

Wamefeli labda ni kwa sababu pamoja na uwezo wao wa kukimbia "marathon nyingi" lakini wana afya dhaifu za roho na nafsi kiasi cha kuangalia anguko la taifa huku wakijitia hawajali na haiwaumi. Au ni kwa sababu wana maradhi ya kushindwa kutoa maamuzi yenye tija kwa ustawi wa taifa. Au pengine ni kwa sababu nchi yetu imejulikana sana kama shamba la bibi na kumekuwa hakuna nia ya dhati ya kukomesha uzembe, wizi na kukosekana kwa uadilifu miongoni mwa viongozi na wananchi kwa ujumla!

Vyovyote vile kila anayeangalia hali ilivyo, kama na yeye siyo mgojwa wa akili au mvivu wa kufikiri, ni wazi ataona kuwa kwa tulipofikia, ili Tanzania inayokalika iendelee kuwepo hakuna jinsi zaidi ya kubadilisha uongozi tulionao. Na msiniambie ---- ya Upinzani hauwezi kwa sababu wananchi wanastahili ustawi regardless ni nani ameusababisha.

Big up!!!
 
Mbona mwenyekiti wa bendera ya kijani anadondoka kila siku, fisadi papa sura imempinda kila siku ujerumi, Babu kamanda hajawahi dondoka bana hamna jipya wezi na wagongwa na wazinzi wote wanatoka ccm
 

Mh. Lusinde amesema Ikulu sio wodi ya wagonjwa na kumnanga dk Slaa.
Chanzo: RFA magazeti

Kama kuna wabunge ambao huwa wananishangaza kuwepo bungeni ni huyu jamaa. Mnakumbuka alivyotoka mapovu kutetea Escrow wakati hata haelewi logic behind the scandal? Yaani huwa hajibu hoja kwa hoja bali kwa mipasho tu..
 
Mataifa yote yanayofanikiwa ni yale ambayo watia nia wanakuwa na andiko la nini wanakwenda kufanya. Unaposema wakifika... unamanisha wanakwenda kujaribu. Kitu ambacho ni sumu. Ila kwa vile sijahusika na siasa kihivyo, ila mabadiriko yanayosemwa yatakuwa ni ya maneno na si vitendo.

Angalia kama kule Ugiriki, jamaa alikuwa anaeleza sera zake na ameanza kuzifanyia kazi.

Angalia Marekani, H. Clinton hatangazi mabaya yaliyoyopo ila nini anataka afanye akiwa rais.

Sisi atujui baado kwa nini tumeungana na sera yetu ni ipi katika kuongoza taifa lenye matatizo makubwa kama hili. Tunataka tupange wakati tumshika nchi.

Unatakauowe ndo upange chumba cha kulala!!!!

Hili ni kosa.
Kulinganisha ukawa na ccm sio sahihi, lengo la sasa la waliowengi ni mabadiliko na ndio maana UKAWA imekuwepo, ccm imepotea na haina dira, watu ni wale wale na wanafanya kazi kwa mtindo ule ule, imefikia wakati kama taifa tuanze upya, na hapo ndio umuhimu wa kuwa na UKAWA, waje watu wapya wenye mtizamo tofauti na hawa wa sasa. UKAWA lengo kuu kwa sasa ni kushika madaraka then ukiwa madarakani unaanza kuunda sera za kitaifa ukiwa unakusanya kodi!
 
Kuna laana isiyopingika nayo ni mwenye afya anapomnanga mgonjwa. Hata ingekuwa ni ugonjwa wa kujitakia. Kumnanga mgonjwa kwa njia yeyote ile ni laana kamili.
Lusinde hana shida kwani tayari kishalaaniwa yule. Anatafuta kampany ya kumsindikiza. Asilan hawezi pata mjinga mwenzake. Kweli Mtera mmepata hasara na ukilinganisha tena ml 300 atakazolamba aweza kurudi tena mjengoni hivyo muandike tena miaka 5 ya hasara.
 
Mataifa yote yanayofanikiwa ni yale ambayo watia nia wanakuwa na andiko la nini wanakwenda kufanya. Unaposema wakifika... unamanisha wanakwenda kujaribu. Kitu ambacho ni sumu. Ila kwa vile sijahusika na siasa kihivyo, ila mabadiriko yanayosemwa yatakuwa ni ya maneno na si vitendo.

Angalia kama kule Ugiriki, jamaa alikuwa anaeleza sera zake na ameanza kuzifanyia kazi.

Angalia Marekani, H. Clinton hatangazi mabaya yaliyoyopo ila nini anataka afanye akiwa rais.

Sisi atujui baado kwa nini tumeungana na sera yetu ni ipi katika kuongoza taifa lenye matatizo makubwa kama hili. Tunataka tupange wakati tumshika nchi.

Unatakauowe ndo upange chumba cha kulala!!!!

Hili ni kosa.

Ndugu yangu kulinganisha wenzetu na sisi ni sawa na kulinganisha usiku na mchana ni vitu tofauti, wewe ulisikia wapi Republican anapigwa na polisi kwa kunadi sera zake, vyombo vya usalama bado vinaelea kwenye mfumo wa chama kimoja, laity kama wangeelewa wao watabaki kuwa vyombo vya usalama hata kama ni ukawa wa tatawala ndipo tungeweza kuwa tunaongea lugha moja, ndio maana nasema kwa sasa lengo ni kuondoa mfumo wa utawala wa chama kimoja na kubadili mtizamo wa fikra wa watanzania hasa vyombo vya usalama, na nikwambie tu sio kwamba ukawa hawana sera wanazo ila wakati wa kuzinadi si utafika, tutawasikiliza na pia kumbuka kila chama mwaka jana kilinadi sera zake, sasa kama wameanza kushirikiana huoni watengeneza sera bora Zaidi toka kwa vyama vyote, kuna sera nzuri kabisa kwenye kila chama na kwa muda huu kama kweli wameamua kushirikiana watakuwa wanatume yao ya wataalam wanaofanyia kazi jambo hili, mimi kwa sasa ni mageuzi kwanza acha kulinganisha Tanzania na USA ni tofauti kabisa.
 
View attachment 251733
Mh. Lusinde amesema Ikulu sio wodi ya wagonjwa na kumnanga dk Slaa.

Awali ilielezwa ña mbunge mmoja kuwa zikianzishwa mbio kati ya Kinana,Maalim Seif na Slaa basi padri ataishia hospitalini kwa afya mgogoro. Spika nae akachagiza kuomba VIP marathon ili watu wasiofiti kiafya wajulikane.

Chanzo: RFA magazeti

kwanini asimnange LOWASA.maana lowasa na dokta slaa lowasa ndo mgonjwa mauti maut. Upo we mleta mada. Au tukufumue marinda?
 
Mbona Rais JK anaumwa TEZI DUME na bado yupo Ikulu?

Maneno mengine akina Lusinde wanamtukana Mwenyekiti wao wa chama
 
mbona jamaa yangu amelea tezi dume mpaka miezi michache iliyopita ndo kaling'oa.Au wodi yake yeye ilikuwa ughaibuni?
 
Mbona Rais JK anaumwa TEZI DUME na bado yupo Ikulu?

Maneno mengine akina Lusinde wanamtukana Mwenyekiti wao wa chama

Kama we ni mwanaume kuugua tezi dume sio ajabu. Usishangae nawe ukawa nalo sasa lkn hujapima tu!
 
Machizi wako bungen.kwa mtu msomi mwenye akili timamu hawez fuatilia kauli ya kijinga kama ya huyo mbunge Wa ccm.taahira siku zote anstamk
 
Kama we ni mwanaume kuugua tezi dume sio ajabu. Usishangae nawe ukawa nalo sasa lkn hujapima tu!

Lusinde kasema mgonjwa hatakiwi Ikulu,hajasema lkn ukiwa na tezi dume inaruhusiwa
 
Tazameni siasa zilivyo na vigeugeu

Ukistajaabu ya Nabii Tito utayaona ya Alhad Mussa,wakati mwingine ni kuangalia tu tunayoongea tusivuke mipaka.Hata kesho Lissu akihamia CCM atapewa sifa zote za duniani na Mbinguni.

Ataitwa Shujaa aliyetumwa na Muumba,siku hiyo itakuwa furaha na vifijo.Ukitaka kushangaa ya bongo utaumiza akili amini unacokiamini.
 
Dr Wilbroad Alaa msema Kweli mwenye maono Unaweza kuwa Makamu wa rais
 
Back
Top Bottom