Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani jk yukoje? nani asiyejua hata yeye ni mgonjwa? mbona kafanyiwa upasuaji wa tezi dume? binafsi namuona lusinde kama ni mchekeshaji tu wa mfalme.
Poa mkuu kesho tunasubiria walete wa2 hpa stadium n mabasi toka babati,monduli,meru etc kutangaza nia ila kiukweli afya yke c sawa anatembea kwa kuchechemea kma lyatonga
Sio tu mchekeshaji! Km kuna MTU tulikosea ccm ni huyu jamaa, nahic ni chizi Fulani hivi,,,!
ikulu hakuna biashara wala si hospitali
Hata kada maarufu naye kanangwa kireja reja!!
Ina maana mgombea wetu mpendwa nayeye mzima?
Mnaonekana kugopa kivuli cha dr slaa,vipi akiingia madarakani si mtakunya mkaa?.dr ndiye rais wako kuanzia octoba.
Napita tu, ngoja niende late lunch, nitarudilowasa kashiriki mbio za marathon nyingi tu hembu mbio zozote huyo babu padri ameshiriki
Chezea kibajaji weye huyo ni kiboko ya bavicha
..hata Magufuli naye alikunywa kikombe cha babu.
..Mwandosya alikuwa India muda mrefu.
..Mwakyembe naye hivyo hivyo.
Nyani halioni lake, Aisee......
Nyani halioni lake, Aisee......