Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

Mbona Mh.Lusinde ameeleweka vizuri.Kwa wale ambao hawajamuelewa niwaombe tu muwe na subira na hatimaye mutamuelewa.
 
kwani jk yukoje? nani asiyejua hata yeye ni mgonjwa? mbona kafanyiwa upasuaji wa tezi dume? binafsi namuona lusinde kama ni mchekeshaji tu wa mfalme.

Sio tu mchekeshaji! Km kuna MTU tulikosea ccm ni huyu jamaa, nahic ni chizi Fulani hivi,,,!
 
Poa mkuu kesho tunasubiria walete wa2 hpa stadium n mabasi toka babati,monduli,meru etc kutangaza nia ila kiukweli afya yke c sawa anatembea kwa kuchechemea kma lyatonga

Kwani Lowassa si alishatamka kwamba kwani aliyeko huko mbona amekaa all those years na ameweza kumaliza kipindi chake?Kwanini wamshangae yeye?
 
Sio tu mchekeshaji! Km kuna MTU tulikosea ccm ni huyu jamaa, nahic ni chizi Fulani hivi,,,!

Tatizo ni ELIMU,ndiyo maana Mzee wetu alitaka tunaotaka kuwa wabunge tufike japo kidato cha nne tu.Wenzetu wakaona Mzee hafai haya tunayaon.Hoja za wabunge nyingine inabidi ukajifungie ili usijepata aibu.......
 
ikulu hakuna biashara wala si hospitali

Huyu aliyopo naye ni MGONJWA kulingana na maneno ya rafikiye ambaye hawajakutana barabarani...........

Je,kwa yeye aliyepo leo ilikuwa MUHIMBILI au AGHAKHAN?
 
..hata Magufuli naye alikunywa kikombe cha babu.

..Mwandosya alikuwa India muda mrefu.

..Mwakyembe naye hivyo hivyo.


Najua, Team nzima ya CCM ilikunywa kile kikombe......................... Ila Mlengwa alikuwa EL. Na thread ya leo ya Lizaboni kuwa EL ameshindwa kupanda ngazi za Clouds ndiyo sababu ya interview kubadilishwa inathibitisha ni jinsi gani kambi za ndani ya CCM zinavyompiga vita EL kupitia afya yake. Issue ya UFISADI inaelekea imebua ..............!!
 
Nyani halioni lake, Aisee......


 
Last edited by a moderator:
Nyani halioni lake, Aisee......




Haya magazeti ya Lumumba yanashida kweli kweli.Hivi wanadhani tuwasahaulivu kiasi hiki. Wabunge wengine wanastahili kuwa kwenye kundi la TOT.

 
Last edited by a moderator:
Piga uwa lazima wamteuwe EL au wasogeze tarehe ya uchaguzi mbele wakitafuta maridhiano.
 
majamaa yalituaminisha siasa ni kuropoka sana,tukamchagua lusinde. Leo tunashuhudia.!!!
 
Huyu jamaa karopoka vapour, hajui hujafa hujaumbika? Mwenzake Capt Komba(RIP) Alisema mzee Warioba anakaribia kufa, akatangulia yeye
 
Back
Top Bottom