Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Twende kwenye balance. Inawezekana kabisa Lusinde yuko sawa, maana wengi tumekuwa tunaona upande wa pili tu, ZZK na CCM. Bila kubadirika, tuna safari sana ya kuokoa taifa hili>
Ameuliza sera ya UKAWA iko wapi na ni kitu ambacho kila mtu anatakiwa ajiulize.
Ameuliza sera ya UKAWA iko wapi na ni kitu ambacho kila mtu anatakiwa ajiulize.