Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mzee sana,ni mgonjwa,ni muongo,ni mwanachama wa ccm,ni mzinzi,ni msaliti(kanisan),ni mlopokaji,ni limbukeni kwa kupekekwa na kilaza mbowe,ni mzee kijana,mlafi wa mlafi wa madaraka hii kaiga.
Hahahah hajielewi anampiga kijembe bosi wake pasipo kujitambua.
Mbona wapo waliokuwa na kifafa na wakadumu katika nafasi zao bila shida na hakuna aliyewahi kuwanyanyapaa. Maneno ya mtu kama Lusinde ni bora kuyachunguza sana kabla ya kuyafanya nukuu kwani yanaweza kuwa na damage upande wake bila yeye kujua
wazee,vikongwe , wagonjwa,wezi wa wake za watu ikulu marufuku
Dr Slaa anaumwa ugonjwa mbaya sana kumpa Ikulu ni kuhatarisha amani nchini kwani anaweza kuleta taharuki isio na ulazima.
Kama unakubali kwamba wapo watakaotaharuki hilo likitokea basi pia kubali kwamba anakubalika.. Lakini pia kumbuka kua hata huyo unaeamini ni mzima anaweza kufa pasipo kuugua sana.
Heee utakuwa no hili chama tu
N kwel kabsa lusinde yupo sahihi tumechoswa na hawa wanaotaman ikulu wakifkir kunagawwa pp kule.haiwezekan ushindwe kuongoza taifa la mungu Kama padri af utegemee kuongoza watu wenye itkad tofaut...kiboko yao n lusinde tuuuu
kwani yule mkazi wa magogoni mwenye tatizo la kuanguka anguka alishapona?
Hayo unayajuwa wewe, sisi hatuyajuwi.
Ukiwa muongo uwe na akili, eti "nikauliza manesi".
Na hao manesi hawajuwi maana ya siri ya mgonjwa hata wakueleze wewe kaja kufanya nini?
Huo ujinga wako kawadanganye misukule wenzio.
kwel slaa kazeeka adi anachechemea