Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

Kuna watu walibeza uzee wa mzee Warioba pia,wakasema " haka kazee kameona kanakaribia kufa, sasa kanatakakutharibia nchi!" sote tu mashahidi, kulikuwa na mzee Mandela sote twajua aliapishwa kuwa rais akiwa na umri gani! mimi nafikiri watanzania kama kweli tunataka taifa hili lisonge mbele Dr Slaa ndiye anaefaa kuwa Rais ajae. ila kwa wale wanaofaidika na mfumo huu wa kifisadi hawataki hata kusikia habari hizi, wamejaa roho za ubinafsi, chuki na kujiona wao ndio waliumbiwa hii nchi, jamani hii nchi ni ya watoto wote wa Tanzania nakila mmoja wetu anayohaki ya kutawala na kuijenga nchi hii.
 
Dr. Love tatizo lake ni mkono tu. "Ikulu ni sehemu takatifu, wengine wanataka kwenda ikulu wakiwa wasela hawajaoa na wengine wanataka kuingia ikulu na wake wa kuazima, ewe Mwenyezi Mungu tuepushe na balaa hili" Kiongozi wa sasa, ilikuwa Oktoba ,2010 Jangwani siku ya kufunga kampeni.

Kauli nzito hiyo yenye hekima bado ina mashiko hadi leo.
 
Alielezea hilo. Huwezi ku speculate the past.

Kigezo chenu ni Kikwete? kwa kuwa yeye hivi na nyinyi ni lazima muwe hivyo? Kama ni hivyo igeni na hii basi:



Most Handsome African President.

Chanzo: The official list of top 10 most handsome African presidents

tujuze alisemaje kuhusu kifafa chake cha kuanguka
maana kuna kipindi hapo mjini bongo nilikuwa nakutana nae hindumandal hospital.. nikauliza manesi wakasema anakuja kuchukua dozeeee yake.
 
View attachment 251733


Mh. Lusinde amesema Ikulu sio wodi ya wagonjwa na kumnanga dk Slaa.

Awali ilielezwa ña mbunge mmoja kuwa zikianzishwa mbio kati ya Kinana,Maalim Seif na Slaa basi padri ataishia hospitalini kwa afya mgogoro. Spika nae akachagiza kuomba VIP marathon ili watu wasiofiti kiafya wajulikane.

Chanzo: RFA magazeti
mkuu unaona aibu kwa hii habari hapo juu kumtaja mh.lowasa .hata kama lusinde humpendi ajaribu kutumia lugha nyepesi huu ni unyanyapaa wa wazi .
 
View attachment 251733


Mh. Lusinde amesema Ikulu sio wodi ya wagonjwa na kumnanga dk Slaa.

Awali ilielezwa ña mbunge mmoja kuwa zikianzishwa mbio kati ya Kinana,Maalim Seif na Slaa basi padri ataishia hospitalini kwa afya mgogoro. Spika nae akachagiza kuomba VIP marathon ili watu wasiofiti kiafya wajulikane.

Chanzo: RFA magazeti

Wau wengi hawataki kutaja pale IKULU wangapi wako kwenye dawa za milele bwana
 
..mbona JK mgonjwa?

..haya ni matatizo ya kusema bila kufikiri.

..Lusinde alimlenga Dr.Slaa, lakini ameishia kumtungua Raisi Kikwetete.

cc assadsyria3
 
Last edited by a moderator:
tujuze alisemaje kuhusu kifafa chake cha kuanguka
maana kuna kipindi hapo mjini bongo nilikuwa nakutana nae hindumandal hospital.. nikauliza manesi wakasema anakuja kuchukua dozeeee yake.

Hayo unayajuwa wewe, sisi hatuyajuwi.

Ukiwa muongo uwe na akili, eti "nikauliza manesi".

Na hao manesi hawajuwi maana ya siri ya mgonjwa hata wakueleze wewe kaja kufanya nini?

Huo ujinga wako kawadanganye misukule wenzio.
 
NYIE NDO AMJAELEWA ILO NI DONGO KWA EDWARD LOWASA. KILA MTU ANAMFAHAMU. . UYU LUSINDE KIBAJAJi NI TEAM MEMBE

Hata mimi nawashangaa hawa wanaodai kuwa ni Silaa. Mlengwa hapa anafahamika kuwa ni EL. Mashambulizi yameanza kwa vile wamesikia anatangaza nia this weekend!!
 
..mbona JK mgonjwa?

..haya ni matatizo ya kusema bila kufikiri.

..Lusinde alimlenga Dr.Slaa, lakini ameishia kumtungua Raisi Kikwetete.

cc assadsyria3

Mkuu, mlengwa ni EL.Mleta uzi au kwa makusudi au bila kujua akafikiri ni Dr. Hatujasikia Slaa kwenda matibabu kama EL.Na hata kwenye kikombe cha babu wote tunajua akina nani walikuwa huko.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, mlengwa ni EL.Mleta uzi au kwa makusudi au bila kujua akafikiri ni Dr. Hatujasikia Slaa kwenda matibabu kama EL.Na hata kwenye kikombe cha babu wote tunajua akina nani walikuwa huko.

..hata Magufuli naye alikunywa kikombe cha babu.

..Mwandosya alikuwa India muda mrefu.

..Mwakyembe naye hivyo hivyo.
 
Hivi tezi dume limeuguziwa wapi vile?

Naona mnarusha mawe kwa kombeo na sasa limempata mpendwa wenu mkwere.
 
kwa nchi yetu ilipofikia hatuhitaji wagombea ambao direct wanaonekana wanamatatizo ya kiafya kwani hayo mengine Mungu anapanga kama kifo bt kama mtu ni mzee sana abaki kuwa mshauri na kama anamatatizo ya afya pia apumzike, madhara ya kuwachagua watu wenye matatizo ya afya na wazee hatutayaona siku ya kupiga kura kwa sababu ya ushabiki wa kisiasa bt baada ya muda mambo yakianza kwenda ndivyo sivyo katika taifa letu tunaanza kuilaumu serikali na kusema serikali iliyopo imechoka wakati sisi wenyewe tunachagua kwa ushabiki, mwalimu Nyerere alisema hatupigi kura ya asante kwa kazi za nyuma bali tunapiga kura ya imani kwa kiongozi tunayemchagua, so let be serious katika kuchagua nani awe rais tusiendeshwe na ushabiki wala mapenzi ya kijinga kwa mtu.
 
Tanzania bwana sijui nan katurogaaaaaaaa....kwakwel yani mtu kama Lusinde tunamjadili kweli na kauli zake za kupuuza tu...tunaitaji ukombozi wa fikra,kwakwel..na ndo mana shilingi inashuka thamani kwakuendekeza watu wenye maono mafupi kama hawa...we are loading October......we are very tired like our government and their followers
 
tujuze alisemaje kuhusu kifafa chake cha kuanguka
maana kuna kipindi hapo mjini bongo nilikuwa nakutana nae hindumandal hospital.. nikauliza manesi wakasema anakuja kuchukua dozeeee yake.

Heee we utakuwa ni mfuasi was hiki chama tuu
 
Back
Top Bottom