Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

Kweli wagogo wamedhihirisha ujinga wao via le mutuz na kibajaj kama think tank ya wagogo ndio hawa basi wataomba milele na milele
 
View attachment 251733


Mh. Lusinde amesema Ikulu sio wodi ya wagonjwa na kumnanga dk Slaa.

Awali ilielezwa ña mbunge mmoja kuwa zikianzishwa mbio kati ya Kinana,Maalim Seif na Slaa basi padri ataishia hospitalini kwa afya mgogoro. Spika nae akachagiza kuomba VIP marathon ili watu wasiofiti kiafya wajulikane.

Chanzo: RFA magazeti

Ni Lowasssa bwana sio Dr Slaa, anayeenda kutibiwa kila siku anajulikana, Labda kama lengo lako ni kupindisha, Slaa alishasema anajua hali za kiafya za viongozi wakuu ndani ya ccm, kama kunakuzoza zoza ataweka wazi nakala za matibabu
 
Hili neno kumnanga mboa mlinatumika lisipostahili?

"Kunanga" nijuavyo ni kupamba kupita kiasi, sasa hapo Slaa kapambwa nini?

FaizaFoxy habari za mchana?? hapo kwenye Blue sijakuelewa!!!!!
 
Siku mtakayomwona Lusinde na nguo za ndani MJENGONI ndiyo mtajua kuwa jamaa hapo juu anafugia nyweli tu!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kuna wimbo wa zamani kipindi cha wagonjwa:

"Ajuaye bwana Mungu kwa mzima kuwa mfu, mgonjwa kuwa salama leo tunawapa pole".

Huyo kibajj anaweza akaenda kabla ya hao anaowakejeli kwani hana mkataba na mwenyezi Mungu.

Mbona Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere (R.I.P) alionekana ana afya nzuri ukilinganisha mzee Kawawa (R.I.P) na Alhaji Aboud Jumbe lakini aliwatangulia.
 
Huyu lusinde mwehu ugonjwa ni kitu ambacho kipo kwa kila binadamu ata yeye ajui kesho yake akirudi tena bungeni basi wapiga kura walio mchagua awana akili
 
lowasa kashiriki mbio za marathon nyingi tu hembu mbio zozote huyo babu padri ameshiriki
kama hana mbio mbona aliwatimua wasaliti na mkatimua mbio kuelekea ACT.:msela:

kama hana mbio mbona aliwatimua ma richmond mpaka mkatimkia monduli:becky:



 
Nafikiri huo ujumbe ulikuwa unawahusu Lowassa pamoja na Pinda maana wote hao ni wagonjwa. Lakini katika kuonyesha kuwa mtoa hoja hakuwa anajua anachokiongelea, mkazi wa sasa kwenye jumba hilo (jumba jeupe) kabla ya kuingia alikuwa ni mgonjwa na ameendelea kuwa mgonjwa huku akitumia kodi zetu kwa matibabu hata ya magonjwa ambayo yangeweza hata kutibiwa hospitali ya Temeke.
 
lowasa kashiriki mbio za marathon nyingi tu hembu mbio zozote huyo babu padri ameshiriki

Na huyu ni Great Thinker!!! Niliwahi kusikia kuna nzi wa kizungu na wa kiafrika. Kama ni kweli, Wewe upo kundi lipi?
 
Kila ninapo kumbuka sakata la kikombe cha babu na kurudisha picha za viongozi waliokwenda kule, hakika ccm inaongoza, Wassira alikwenda, Nimrodi Mkono, Mbunge wa Ismani, Mrema n.k; sasa sijui hapo imekaaje cause Wassira nae anautaka urais!
 
Back
Top Bottom