Kufikiria slaa kua rais ni kuishiwa fikra.
Wewe ndiye uliyeishiwa fikra ukizani unafikiria kwa niaba ya wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufikiria slaa kua rais ni kuishiwa fikra.
wazee,vikongwe , wagonjwa,wezi wa wake za watu ikulu marufuku
lowasa kashiriki mbio za marathon nyingi tu hembu mbio zozote huyo babu padri ameshiriki
lowasa kashiriki mbio za marathon nyingi tu hembu mbio zozote huyo babu padri ameshiriki
Uongo upi aliosema Lissu we Gamba, mmeambiwa mmechoka, mko hoi huu ni uongo kwani?Bora hata ya lusinde anasema ukweli mbona Lisu anaongea uongo wa kutunga kabisa lakini hujauona.
Mbona wapo waliokuwa na kifafa na wakadumu katika nafasi zao bila shida na hakuna aliyewahi kuwanyanyapaa. Maneno ya mtu kama Lusinde ni bora kuyachunguza sana kabla ya kuyafanya nukuu kwani yanaweza kuwa na damage upande wake bila yeye kujua
wazee,vikongwe , wagonjwa,wezi wa wake za watu ikulu marufuku
Mbona wapo waliokuwa na kifafa na wakadumu katika nafasi zao bila shida na hakuna aliyewahi kuwanyanyapaa. Maneno ya mtu kama Lusinde ni bora kuyachunguza sana kabla ya kuyafanya nukuu kwani yanaweza kuwa na damage upande wake bila yeye kujua
Bora tuchague Rais Mzee ili muda wake ukiisha akalee wajukuu kuliko kumchagua Rais kijana na muda wake ukiisha atataka kujiongezea mda huku akijiona bado ni kijana.
wazee,vikongwe , wagonjwa,wezi wa wake za watu ikulu marufuku
Bora tuchague Rais Mzee ili muda wake ukiisha akalee wajukuu kuliko kumchagua Rais kijana na muda wake ukiisha atataka kujiongezea mda huku akijiona bado ni kijana.
wazee,vikongwe , wagonjwa,wezi wa wake za watu ikulu marufuku
ASSADSYRIA,Heshima kubwa kwako.Mh. Lusinde amesema Ikulu sio wodi ya wagonjwa na kumnanga dk Slaa.
Awali ilielezwa ña mbunge mmoja kuwa zikianzishwa mbio kati ya Kinana,Maalim Seif na Slaa basi padri ataishia hospitalini kwa afya mgogoro. Spika nae akachagiza kuomba VIP marathon ili watu wasiofiti kiafya wajulikane.
Chanzo: RFA magazeti