Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

Naona sasa bunge ni wodi ya MIREMBE maana akina Lusinde nao wamo.
 
Mnaonekana kugopa kivuli cha dr slaa,vipi akiingia madarakani si mtakunya mkaa?.dr ndiye rais wako kuanzia octoba.

rais si issue ht diamond ni rais wa wasaf ila tunazungumzia raise wa nchi si mtaa mmoja wa ufipa
 
Ili mradi kama IKULU hii inakaliwa na mtu mwenye kifafa na kansa ya tezi ya korodani basi mtu yeyote mwenye kuangaliwa na waganga anawea kaa pale IKULU ili mradi asiwe mgonjwa wa akili tu
 
ikulu kuna biashara gani hata watu wapakimbilie
 
Kama sijakosea hata Kikwete alikuwa anaumwa na kudondoka dondoka hovyo kabla hajawa rais...
Kwa hiyo naamini hata hao mnaowasema kuwa ni wagonjwa wanaweza kupona magonjwa yao wakiwa Ikulu...!!!

ANGALIZO: Linapokuja suala la uongozi ni muhimu sana kuangalia uwezo binafsi wa akili ya mtu.... Labda wakiisha wenye akili nzuri ndo tuanze kuangalia ni nani anaweza kukimbia marathon... kubeba nondo...kucheza muziki..kuhonga sana...n.k
 
lowasa kashiriki mbio za marathon nyingi tu hembu mbio zozote huyo babu padri ameshiriki
Ikulu sio Olympic games.
Kama mnataka mkimbiaji basi mpeni Husein Bolt Urais.
Akili za shule ya kata zikichanganyika na moshi wa bange ndio matatizo yanapoanza.
 
Mh. Lusinde amesema Ikulu sio wodi ya wagonjwa na kumnanga dk Slaa.

Awali ilielezwa ña mbunge mmoja kuwa zikianzishwa mbio kati ya Kinana,Maalim Seif na Slaa basi padri ataishia hospitalini kwa afya mgogoro. Spika nae akachagiza kuomba VIP marathon ili watu wasiofiti kiafya wajulikane.

Chanzo: RFA magazeti

Mwenyekiti wa ccm marampaka akamatwa na viungo vya binadamu huko simiyu.
 
Babu slaa miaka 80 sasa anataka ikulu akafanye nini?bora miaka yake iliyobak ale maisha na girlfriend wake
 
watanzania tuwe waangalifu na watu tunaowapa ubunge huyu Lusinde hata kuwa baba wa familia hakustahili maana hana chochote kichwani ni mweupe zaidi ya karatasi poleni watu wa mtera miaka mitano imepita hamna mbunge sasa ndo wakati wa kuchagua mbunge wenu.
 
Hili neno kumnanga mbona mnatumia lisipostahili?

"Kunanga" nijuavyo ni kupamba kupita kiasi, sasa hapo Slaa kapambwa nini?
 
Angekuwa na akili angemshauri jk aliekuwa ana dondoka hadharani? Et afya slaa aliwah kudondoka jukwani lini? Lucynde ni chizi
 
Back
Top Bottom