DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ulitakiwa kumwambia hayo maneno jiwe.Why don't you be a human being just for a moment?
Mimi nimekuelewaSijui kama umeelewa nilichiandika.
Na huyo Nape ajiangalie sana,ajiulize wale wote waliomdhihaki Lowasa kwa maneno na vitendo kuhusu afya yake leo hii wako wapi? Ajiandae kuwafuata.Kama mnakumhuka,mwaka 2015 kwenye moja ya mikutano ya kampeni ya CCM, Nape alisikika akisema Ikulu sio wodi ya wagonjwa akimkejeli mmoja wa wagombea wa upinzani.
Kutokana na kauli hiyo na yaliyotokea,CCM mna la kujifunza na msipobadilika, mapigo yataendelea maana Mungu haangalii cheo wala wadhifa wa mtu.
Halafu huwezi amini wao leo ndio wanalalamika eti watu wanafurahia kifo cha binadamu mwenzao wakati wao walimkejeli mtu alie hai.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
Product za mikesha ya mwenge hazina adabu kabisa.Kama aliyesema hivyo ni nnauye basi asamehewe kwani malezi yake hayakukamilika kama wengi walivyo
kama una undugu na Mungu.Naamini atakauwa mahala patakatifu sasaiv!
Usisahau ..... Any action has equal and opposite reaction...Why don't you be a human being just for a moment?
Muandishi ameufanya uliouita UKWELI kuwa jambo la Kisiasa Kama ambavyo watamkaji walivyolitamka Kisiasa wakati wa uchaguzi... Na kwa bahati mbaya wengi walitamka hayo kwa maneno na matendo na kwa kejeli za hali ya juu. TUVUMILIANE TUNape alisema ukweli ingawa ukweli huo haukupaswa umhusishe mtu moja Kwa moja!!
Na mpaka sasa ukweli huo utaendelea kuwa hivyo!!
Mwandishi ameufanya huu ukweli kuwa Jambo la kisiasa akilini kwake!!
JPM ameshatangulia kwenye hukumu ya haki. Huko matendo yake yatamfuata.Ulitakiwa kumwambia hayo maneno jiwe.
Nan amruhusu kuingia huko?Naamini atakauwa mahala patakatifu sasaiv!
Usisahau ..... Any action has equal and opposite reaction...
Unamaana gani mkuu?Why don't you be a human being just for a moment?