Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
mh lusinde amesema ikulu sio wodi ya wagonjwa na kumnanga dk Slaa.
awali ilielezwa ña mbunge mmoja kuwa zikianzishwa mbio kati ya kinana,maalim seif na pàdri slaa basi padri ataishia hospitalini kwa afya mgogoro. spika nae akachagiza kuomba VIP marathon ili watu wasiofiti kiafya wajulikane
chanzo RFA magazeti
Lusinde elimu yake ya std 7 hakutakiwa kwenda bungeni,kwani ndio kumezidisha ukichaa wake husio tibika