Aliyeamua ijengwe hapo ni Nyerere au Magufuri?Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
wamekufa marais 3, huyo mbwa wenu ana nini akumbukwe. Amesahaulika baba wa Taifa sembuse jitu katili lililoongoza miaka 5. Hakuna genge pumbavu nchi hii km la kisukuma.Kuna nguvu kubwa sana inatumika kujaribu kumficha Late Magufuli but ukweli wanaujua wananchi waliokuwa wanateseka kabla hajaongoza nchi.
Hawa hata kama atafichwa vipi still wanaujua umuhimu wake,hatutegemei mtu kama zuhra au yeyote yule aliyeko kwenye circle ya serikali ya leo amtaje Magufuli kwa zuri maana siye anayemlipa.
NB;mimi siyo mwanasiasa ila naongea uhalisia ulivyo.
....CHAWA....Nawatumikia hapa hapa,huko wapinunakotaka niende?
Mtalia sana,historia inaandikwa na Washindi hao wengine watatajwa tuu ila hawataingia kwenye maandishi..
Tayari ubao unasoma Ikulu imezinduliwa.na Rais Samia, mengine nimkujifariji [emoji1787][emoji1787]
Una tumia nguvu Sana kumtaja mtu ambaye hayupo., IKULU IMEJENGWA NA SAMIASa100 Amepaka tu RANGI na finishing, mjenzi wa Boma ni Magu, sa100 anakabidhi Leo nyumba Kwa mwenye nyumba abaye ni mwananchi.
Tatz nini kukubali issue ndogo namna hii?
UDOM imejengwa kwa shinikizo la IMF na wakaikopesha nchi. Sio kwamba serikali ilikuwa na huo mkakati; halafu na upigaji juu budget ikabidi iongezwe mara dufu.UDOM amejenga mamako we ngedere, kwanza Magufuli hakujenga hiyo ikulu alianzisha tu ujenzi. Halafu JK usimfananishe na yule mshamba wenu. Ikulu 2 za kazi gani km una akili. JK ana akili sana amejenga mtandao mkubwa wa barabara nchi hii, amekujengea chuo kikuuu kikubwa kabisa Afrika na Kati. Ujenzi ulianza Machi 2020 Magufuli alikufa Machi 2021. Huyo Magufuli wenu aliijengea kaburini? Hata mamako atamjengea nyumba endelea kumwaza
Mbona unaniaibisha Kwa kuonesha ujinga wako hadharani?wamekufa marais 3, huyo mbwa wenu ana nini akumbukwe. Amesahaulika baba wa Taifa sembuse jitu katili lililoongoza miaka 5. Hakuna genge pumbavu nchi hii km la kisukuma.
Unatumia nguvu mno. Kama vipi nenda Chattle kabisa.
Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.
Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...
Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!
Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!
ulikuwemo IMF?. ACHA UZWAZWA WE POYOYO. IMF wanapanga mipango ya nchi hii?UDOM imejengwa kwa shinikizo la IMF na wakaikopesha nchi.
Ngedere wewe na familia yako, uwezi kujibu hoja mpaka utakane watu.
Acheni ugomvi, official statement imesema wazi Mh. Samia alipoingia madarakani Ikulu ilikuwa imefika asilimia 70...Sasa ligi ya nini?
Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.
Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...
Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!
Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!
[emoji23][emoji23] Mabeberu wapi hao watumikiwe na mjinga hivi. Labda mabeberu ya mbuzi.Nawatumikia hapa hapa,huko wapinunakotaka niende?
Mtalia sana,historia inaandikwa na Washindi hao wengine watatajwa tuu ila hawataingia kwenye maandishi..
Tayari ubao unasoma Ikulu imezinduliwa.na Rais Samia, mengine nimkujifariji [emoji1787][emoji1787]
Unataka kusema na Uhuru wa Tanzania sa100 ndo mwasisi sababu Nyerere hayupo?Mbona
Una tumia nguvu Sana kumtaja mtu ambaye hayupo., IKULU IMEJENGWA NA SAMIA
Soma Zaburi 49.
Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.
Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...
Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!
Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!