Ikulu ya Chamwino: Nani hasa anastahili credits?
Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.

Aliyeamua ijengwe hapo ni Nyerere au Magufuri?
 
Kuna nguvu kubwa sana inatumika kujaribu kumficha Late Magufuli but ukweli wanaujua wananchi waliokuwa wanateseka kabla hajaongoza nchi.

Hawa hata kama atafichwa vipi still wanaujua umuhimu wake,hatutegemei mtu kama zuhra au yeyote yule aliyeko kwenye circle ya serikali ya leo amtaje Magufuli kwa zuri maana siye anayemlipa.

NB;mimi siyo mwanasiasa ila naongea uhalisia ulivyo.
wamekufa marais 3, huyo mbwa wenu ana nini akumbukwe. Amesahaulika baba wa Taifa sembuse jitu katili lililoongoza miaka 5. Hakuna genge pumbavu nchi hii km la kisukuma.
 
Nawatumikia hapa hapa,huko wapinunakotaka niende?

Mtalia sana,historia inaandikwa na Washindi hao wengine watatajwa tuu ila hawataingia kwenye maandishi..

Tayari ubao unasoma Ikulu imezinduliwa.na Rais Samia, mengine nimkujifariji [emoji1787][emoji1787]
....CHAWA....
 
Kwani angetajwa ingesaidia nini? Hili tatizo alilianzisha mwendazake mwenyewe. Ni wakati wake miradi yote ilibinafsishwa kwa jina lake kana kwamba alijenga kwa pesa zake. Kuhusu ikulu Dodoma, nafikiri wa kupongezwa ni watanzania kwa kutoa kodi na kupatikana pesa za kujenga nyumba ya taifa. Haya mengine ni ujinga wetu wa kuwaabudu watu na kufikiri kwamba wanayofanya kulingana na ajira tuliyowapa wanatufanyia hisana. Ujinga kweli kweli.
 
UDOM amejenga mamako we ngedere, kwanza Magufuli hakujenga hiyo ikulu alianzisha tu ujenzi. Halafu JK usimfananishe na yule mshamba wenu. Ikulu 2 za kazi gani km una akili. JK ana akili sana amejenga mtandao mkubwa wa barabara nchi hii, amekujengea chuo kikuuu kikubwa kabisa Afrika na Kati. Ujenzi ulianza Machi 2020 Magufuli alikufa Machi 2021. Huyo Magufuli wenu aliijengea kaburini? Hata mamako atamjengea nyumba endelea kumwaza
UDOM imejengwa kwa shinikizo la IMF na wakaikopesha nchi. Sio kwamba serikali ilikuwa na huo mkakati; halafu na upigaji juu budget ikabidi iongezwe mara dufu.

Ngedere wewe na familia yako, uwezi kujibu hoja mpaka utakane watu.
 
wamekufa marais 3, huyo mbwa wenu ana nini akumbukwe. Amesahaulika baba wa Taifa sembuse jitu katili lililoongoza miaka 5. Hakuna genge pumbavu nchi hii km la kisukuma.
Mbona unaniaibisha Kwa kuonesha ujinga wako hadharani?
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!
Unatumia nguvu mno. Kama vipi nenda Chattle kabisa.
Kenge wewe
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!

Acheni ugomvi, official statement imesema wazi Mh. Samia alipoingia madarakani Ikulu ilikuwa imefika asilimia 70...Sasa ligi ya nini?
 
Nawatumikia hapa hapa,huko wapinunakotaka niende?

Mtalia sana,historia inaandikwa na Washindi hao wengine watatajwa tuu ila hawataingia kwenye maandishi..

Tayari ubao unasoma Ikulu imezinduliwa.na Rais Samia, mengine nimkujifariji [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23] Mabeberu wapi hao watumikiwe na mjinga hivi. Labda mabeberu ya mbuzi.
 
Huu nao ni ujuha mpya tumeuona kwenye siasa za Tanzania. Juhudi yote aliyoifanya baba yule na kila mtu aliona leo hata kumtaja mmeogopa. Najua kundi kubwa jf hawampendi lakini sio kwa hatua ya kuhodhi hata mazuri aliyoyatenda . Mbona alipokuwa hai mlijifanya kumsifu sana hadi mliboa. Huenda hata madaraka mlimnyang'anya nyie sio bure.

By the way mlifanya nyie pongezi kwenu. Mbona hatuoni miradi mipya zaidi ya madarasa ya UVICO, maridhiano na trilioni za CAG?
Mnashindweje kulipenda taifa linalotajirisha familia zenu?

By the way endeleeni kumkandamiza aliyekufa wanyonge tutajibu
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!

Soma Zaburi 49.
 
Back
Top Bottom