Ikulu ya Chamwino: Nani hasa anastahili credits?
Inasemaje?? Maana Biblia iko mbali
"Sikieni haya,enyi mataifa yote;Sikilizeni,ninyi nyote mnaokaa duniani.Watu wakuu na watu wadogo wote pia,Tajiri kwa maskini wote pamoja.Kinywa changu kitanena Hekima,Na fikra za moyo wangu zitakuwa za Busara.Nitatega sikio langu nisikie mithali,Na kufumbua fumbo langu kwa kinubi.Kwa nini niogogope siku za uovu,Ubaya ukinizunguka miguuni pangu? Wa hao wanaozitumainia mali zao,na kujisifia wingi wa uatajiri wao;Hakuna mtu awezaye kumkomboa ndugu yake,wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.Maana fidia ya nafsi zao ina gharama,wala hana budi kuiacha hata milele;ili aishi sikuzote asilione kaburi.
Naam,ataliona,hata wenye hekima hufa,Mpumbavu na mjinga hupotea pamoja,na kuwaachia wengine mali zao.Makaburi ni nyumba zao hata milele,maskani zao vizazi hata vizazi.Hao waliotaja mashamba yao kwa majina yao wenyewe.LAKINI MWANADAMU HADUMU KATIKA HESHIMA ,BALI AMEFANANA NA WANYAMA WAPOTEAO..........................................................................................."
 
Kikwete aliacha jengo gani la serikali kuu Dodoma unalolijua wewe, zaidi ya mradi wake wa kitapeli akishirikiana na Rostam kuwajengea CCM jengo la mkutano at overprice.

Muwe na shukran watanzania hizo ndio laana zenyewe kutoka kwa mungu; halafu mnashangaa umaskini aushi na wala ampati viongozi wenye busara bali majizi tu kila siku.
Laana ije Kwa ajili ya kutomtaja magufuli!!mungu wako atupe laana sisi!Sisi tuna MUNGU asiyeruhusu huo upumbavu wa kutoka Kwa mungu wenu utukute bwa shee
 
Magufuli alianza ujenzi na Samia akiwa makamu wake. Samia kamalizia ujenzi.
Nadhani ndio sababu kuu za Magufuli kumchangua Samia alimwona kama mtu anayefanana nae kimaono.
Hizi siasa za maji taka zinataka kuwaseparate.
Taja mradi mkubwa mmoja aliouanzisha wa kufikia hata Trillion 1 kwa Rais Samia tangu awe raisi
 
Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.

Kila siku tunaandika na kuongea, CCM na watu wake ni mashetani, hamuelewi.

Huu upuuzi ni wa kuupinga kwa kila njia.
Binadamu timamu na aliyestaarabika ni lazima afanye acknowledgement sahihi.

Sikumpenda JPM lakini kwa hili hawajafanya poa, nashukuru kwa kuwa sikukubali mwaliko wa kwenda kwenye uzinduzi.
 
Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?

Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
Ili wengine wahamasike kufanya mambo makubwa na wao wakumbukwe!
 
Unaweza kweli kuandaa makala ya serikali kuamia Dodoma wakati alietekeleza hilo agizo umuache.

Mbowe ameiuwa CDM, Lissu nae kastuka late kumtukana Magufuli akumjengei kaamua attack zake kwa juzi peleka kwa Samia na CCM kwa ujumla.

Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea ni yeye peke yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.

CCM ishukuru hakuna chama cha kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo.
Afya ya Akili........ Kuna connection gan kati ya Ikulu na CHADEMA sasa hapo?
 
Kikwete aliacha jengo gani la serikali kuu Dodoma unalolijua wewe, zaidi ya mradi wake wa kitapeli akishirikiana na Rostam kuwajengea CCM jengo la mkutano at overprice.
UDOM Moja ya vyuo vikubwa zaidi Afrika Mashariki alijenga nani kama sio JK?

punguzeni chuki zisizo na tija
 
Kama JPM amekamilisha miradi iliyoanzishwa na Kikwete, iweje miradi ya Samia iliyoanzishwa na Magufuli asitajwe wakati Kikwete katajwa na hajaanzisha huo mradi wa Ikulu? Uwe unatumia akili kwenye hija zako mkuu. Au imejaa ujii??
Hamna mchango wowote wa kikwete , mwinyi kwenye hiyo ikulu. Ni wanafiki tu ndo unawasumbua watu .
 
Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.

Yeye aliandaa simulizi ya ikulu ya dar sio dodoma Sasa amuweke jpm alijenga?hao wengine walihusika kujenga wings nyingine pale
 
Kikwete aliacha jengo gani la serikali kuu Dodoma unalolijua wewe, zaidi ya mradi wake wa kitapeli akishirikiana na Rostam kuwajengea CCM jengo la mkutano at overprice.

Muwe na shukran watanzania hizo ndio laana zenyewe kutoka kwa mungu; halafu mnashangaa umaskini aushi na wala ampati viongozi wenye busara bali majizi tu kila siku.
Ona huyu naye. Chuo kikuu Dodoma na barabara za nchi hii umejenga wewe? Au chuo kikuu sio majengo ya serikali?
 
"Sikieni haya,enyi mataifa yote;Sikilizeni,ninyi nyote mnaokaa duniani.Watu wakuu na watu wadogo wote pia,Tajiri kwa maskini wote pamoja.Kinywa changu kitanena Hekima,Na fikra za moyo wangu zitakuwa za Busara.Nitatega sikio langu nisikie mithali,Na kufumbua fumbo langu kwa kinubi.Kwa nini niogogope siku za uovu,Ubaya ukinizunguka miguuni pangu? Wa hao wanaozitumainia mali zao,na kujisifia wingi wa uatajiri wao;Hakuna mtu awezaye kumkomboa ndugu yake,wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.Maana fidia ya nafsi zao ina gharama,wala hana budi kuiacha hata milele;ili aishi sikuzote asilione kaburi.
Naam,ataliona,hata wenye hekima hufa,Mpumbavu na mjinga hupotea pamoja,na kuwaachia wengine mali zao.Makaburi ni nyumba zao hata milele,maskani zao vizazi hata vizazi.Hao waliotaja mashamba yao kwa majina yao wenyewe.LAKINI MWANADAMU HADUMU KATIKA HESHIMA ,BALI AMEFANANA NA WANYAMA WAPOTEAO..........................................................................................."
Ok thanks..
 
kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo
Nani aliyekudanganya CCM inategemea kura za wananchi kushinda? Ingekua upepo ndio unaamua basi 2015 mngepisha ikulu maana hata huyo JPM wenu alipotezwa kabisa na Lowassa.
Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea ni yeye peke yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.
Wananchi Gani hao? Hizo kura million 3 za Chadema kwenye ubunge 2020 zilitoka wapi ilihali JPM alikua hai na uchaguzi ulivurugwa?. Unavyoongea utadhani kila mwananchi by default ni CCM. Ambalo hujui wapiga kura wa 2025 wengi wamezaliwa baada ya 2000s so wamekulia kwenye vyama vingi.
Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea ni yeye peke yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.
Too late ndio Nini? Kila mtu anajua Lissu ni Anti-JPM tokea akiwa hai bado. Hiyo 2025 Rais ataamuliwa kati ya Lissu au Samia so whether JPM anatukanwa or not wananchi watapiga kura based on performance ya Samia ambayo ni very poor. So mwisho wa siku hao Team JPM hawatopiga kura which ni hasara kwa Samia Sio Lissu.

Very poor analysis kudhani JPM ni factor 2025 ilihali wagombea wote wawili ni anti JPM
 
Back
Top Bottom