madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,488
- 2,904
Unaakili za kipumbavu sana hivi wewe unapo soma history Leo ya uhuru kunasehem waliacha kumtaja Nyerere kisa ni marehemSasa kama unajua ni kivuli uliona wapi kivuli kimejenga ikulu??
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Anajenga mradi wa Tilioni 96 sembuse hako kaikulu 😁😁MAUSHUNGI ni dhaifu, hawezi kazi ya kiume ile. Amedebweda ndio maana mafisadi yanamshika makalio kiulaini.
Akaamua ajitutumue kumtaja mwamba wa chato kinyonge kwa aibu.
Anadanganywa na akina CHEKIBOBU KIKWETE atapotea. Wale ni FAILURES, VASCO DAGAMAS hawawezi kumsaidia zaidi ya kumpigisha umbea.
[emoji1787]MAUSHUNGI ni dhaifu, hawezi kazi ya kiume ile. Amedebweda ndio maana mafisadi yanamshika makalio kiulaini.
Akaamua ajitutumue kumtaja mwamba wa chato kinyonge kwa aibu.
Anadanganywa na akina CHEKIBOBU KIKWETE atapotea. Wale ni FAILURES, VASCO DAGAMAS hawawezi kumsaidia zaidi ya kumpigisha umbea.
Unajua kuzimu hakujai. Wengine walikuwa wanajiandaa kuwa marais. Na kusaini kwa wino mwekundu madocument ya kazi ya uraisi. Sasa hivi nao wanasaini kuzimu.Safi kabisa, mtenda hutendwa. Magufuli akiwa hai alikuwa anawaponda watangulizi wake wote kuwa hawakufanya lolote. Sasa ngoja na yeye afunikwe tu hata huko kuzimu aliko
Kesho tunaweza kuambiwa ina cracks, wakandarasi wazawa hawaaminiki kusimamia integrity zao.Sio kujitutumua walikuwa nae,hakuna mwamba hapo.
Hivi Ikulu imegharimu kiasi gani maana Msingi walisema imekula nondo za Bilioni 1.
MAUSHUNGI akitaka afanikiwe aachane na akina CHEKIBOBU KIKWETE. She will do wonders.Anajenga mradi wa Tilioni 96 sembuse hako kaikulu [emoji16][emoji16]
Angekuwa Dhaifu na hawezi si angeshashindwa Sasa kukamilisha kwani Dhalimu alicha pesa ya ujenzi? [emoji2957][emoji2957]
Jiwe alihangaika kuanzisha bwawa mwakani SSH anawasha kitufe Cha umeme,hapo ni chini ya miaka 4 Kila kitu tayari
Jiwe alikuwa Dhaifu sana yaani Hadi madarasa yalimshinda akawa anajifichia kwenye tumiradi huto unayoita Cha kiume [emoji16][emoji16]
Samia anawaonesha kwamba hakuna mradi wa kiume hapo ni uwezo wenu mdogo,she is doing all that with many many others including offering employment ambazo Jiwe alishindwa Kwa visingizio vya Sgr,bwawa na blaa blaa kama hizo [emoji1787][emoji1787]
Hawezi kufuata ma failures kama nyie,MAUSHUNGI akitaka afanikiwe aachane na akina CHEKIBOBU KIKWETE. She will do wonders.
Akina CHEKIBOBU KIKWETE ni FAILURES walitumia urais wao kuzurura angani na kukwapua tembo.
Yes, Maushungi is doing good so far. Ajira na miradi mbalimbali, EXCELLENT.
Lakini lile GENGE CHAFU la akina CHEKIBOBU KIKWETE linastahili kupumzishwa ili MAUSHUNGI afanye vyema zaidi.
I give credit where is due. Mimi sio mfuasi wa uchawa uchawa kama nyie vikaragosi vya MAUSHUNGI.Hawezi kufuata ma failures kama nyie,
Mlitaka kuaminisha mbumbumbu wenzenu kwamba mnafanya kitu spesho hakiwezi fanywa na mwingine [emoji16][emoji16]
Sada mumeumbuka na historia imeanfika jina la SSH.
Unaweza kweli kuandaa makala ya serikali kuamia Dodoma wakati alietekeleza hilo agizo umuache.
Mbowe ameiuwa CDM, Lissu nae kastuka late kumtukana Magufuli akumjengei kaamua attack zake kwa juzi peleka kwa Samia na CCM kwa ujumla.
Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea ni yeye peke yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.
CCM ishukuru hakuna chama cha kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo.
Ndio imejengwa na Samia kwa sababu yeye ndo ameikamilisha kuijenga.
Kwa hata huyo JPM si alikuta miradi iliyo anzishwa na kikwete yeye akaja kuimalizia akaita ni ya kwake?
Kwani kulikuwa na ulazima wa ku rush kuhamia Dom?I give credit where is due. Mimi sio mfuasi wa uchawa uchawa kama nyie vikaragosi vya MAUSHUNGI.
Mzee wa chato aliweka nia, akajenga ikulu, kisha samia akaimalizia. Those are called APPARENT FACTS.
Nyie vikaragosi wa MAUSHUNGI hamko tayari kuzikubali hizi facts kwa sababu zinamdhoofisha anaonekana MDEBWEDO.
Ndio maana hata yule mfalme wenu wa msoga CHEKIBOBU KIKWETE na yeye anajipenyeza ANADOEA maendeleo ya nchi bila kuchangia lolote ili angalau ajitutumue kidogo baada ya kupokea kichapo kizito kwa miaka sita ya JPM [emoji16]
Haya ni MAIGIZO YA UCHEKIBOBU. The sooner you admit the facts, the better.
Punguza uharo. Watanzania wanataka kuona historia na si unafiki wenu huo.Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?
Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
Ingeshamshinda,wewe miaka 2 bwawa linajengwa Kwa only 30%?Watu wanataka credibility pia kwa jpm sababu hakukabidhi iyo mirad kwamba amefikia apo ni amekufa, huenda angekuepo angeweza kuifanya zaidi ya apo naye ndo mwasisi baada ya nyerere alikua na wazo ye ndo amekuja kuibua maana wa hapo katikati hawakuipa kipaumbere kabisa ila ye aliiona ya maana na kuiwekea mkazo na kipaumbere licha ya kuonekana mwehu kwenye maono yake leo hii wanapora credit zote wanazivaa wao pekeyao sio sawa na wala hapunguzi kitu kukubali kutoa credit kwa alieanzisha.
Ukweli maushungi ameshindwa hizi 96t si amefawiwa mafisadi ni a 50% ndo umeenda kwenye hizo project .maushungi ni failed presdent ever happenedAnajenga mradi wa Tilioni 96 sembuse hako kaikulu [emoji16][emoji16]
Angekuwa Dhaifu na hawezi si angeshashindwa Sasa kukamilisha kwani Dhalimu alicha pesa ya ujenzi? [emoji2957][emoji2957]
Jiwe alihangaika kuanzisha bwawa mwakani SSH anawasha kitufe Cha umeme,hapo ni chini ya miaka 4 Kila kitu tayari
Jiwe alikuwa Dhaifu sana yaani Hadi madarasa yalimshinda akawa anajifichia kwenye tumiradi huto unayoita Cha kiume [emoji16][emoji16]
Samia anawaonesha kwamba hakuna mradi wa kiume hapo ni uwezo wenu mdogo,she is doing all that with many many others including offering employment ambazo Jiwe alishindwa Kwa visingizio vya Sgr,bwawa na blaa blaa kama hizo [emoji1787][emoji1787]
Sukuma gang na yule Dhalimu mlikuwa mumeaminisha mbumbumbu wenu kwamba what you are doing is exceptional no one else can do Sasa Samia amewaonyesha hivyo ni vitu vidogo sana [emoji16][emoji16]
Mjinga hata huelewi unachoongea..Ukweli maushungi ameshindwa hizi 96t si amefawiwa mafisadi ni a 50% ndo umeenda kwenye hizo project .maushungi ni failed presdent ever happened
Mama Samia ni noma sana, nchi inakwenda kasi bila keleleNa Bado sukuma.gang mtalia sana wakati wa uzinduzi wa bwawa mwakani..
Kuanzisha sio kujenga na Wala sio kufanikisha