Ikulu ya Chamwino: Nani hasa anastahili credits?
Ø
Kama baba yako alivyokuwa mchawi amekufa kibudu

Kama unalipenda lile liuwaji kiukweli basi kunywa dawa ya panya ulifuate kuzimu ukalisifu

Usikasirike kipumbavu
 
wivu utakusumbua sana, jicheki usijepata ugonjwa wa moyo
CHEKIBOBU KIKWETE anapenda kubembea ulaya na kujidekeza.

Hawezi kazi yule, zaidi ya kukenua mijino nje na kujifanya jasusi hakuna lingine venye anaweza fanya. [emoji851]

Mwenyewe aliulizwa kwanini nchi ni masikini akasema HAJUI huku anakenua mijino [emoji851]

Kanyaboya lile.
 
Na wewe kafukue mzoga wa baba yako

Baba yangu haitwi Magufuli 😜😜

Mishipa ya shingo isikutoke, kanywe kilozoni ulifuate kuzimu ukalisifu liuwaji jizi la kura
 
Nendeni mahakamani,mnatupigiaga kelele.

IKULU imejengwa na fedha za mlipa Kodi wa Tanzania.

Kuna Rais yeyote aliyekatwa au to mshahara wake kupeleka kwenye ujenzi?.

Si a/c zao zimenona na hazijawahi toka hata sh 10.

Acheni uzwazwa.

Ndo maana jirani zetu wanatuita Mara MAITI Mara MAKONDOO.aka NYUMBU.

Nakweli
 
Lile liuwaji lilikuwa likiwaibia watu pesa bank kutaka kujenga Chato Airport
🤔Naona unajaribu kutungua papai Kwa kutumia gobole Magufuli ni maji usipoyaoga utayanywa TU na Bado 2024-2025 ndo mtajua hamjui watanzania wa Sasa siyo wapumbavu Wana macho na masikio RIP JPM
 
🤔Naona unajaribu kutungua papai Kwa kutumia gobole Magufuli ni maji usipoyaoga utayanywa TU na Bado 2024-2025 ndo mtajua hamjui watanzania wa Sasa siyo wapumbavu Wana macho na masikio RIP JPM

Kalifufuwe uliweke tena lile jizi la kura. Dead man dont Count.
Siku zile hazirudir tena , never again

RIH. Jizi la kura liuwaji
 
Twalichukia sana lile shetani lenu la Chato kwa jinsi likivyotutesa
Kama ulikuwa shoga vyeti feki fisadi na mvivu Kwa Nini usiteswe kipindi kile JPM ni mwamba watu kama nyie hata mi nikishika madaraka nikuwashikisha adabu Ili nchi isonge bora punda afe mzigo ufike
 
Kalifufuwe uliweke tena lile jizi la kura. Dead man dont Count.
Siku zile hazirudir tena , never again

RIH. Jizi la kura liuwaji
Utateseka sana na kupata presha mwamba magufuli atazidi kuongelewa kizazi na kizazi Kwa sababu aliacha kazi njema inayoonekana hakuacha porojo
 
Utateseka sana na kupata presha mwamba magufuli atazidi kuongelewa kizazi na kizazi Kwa sababu aliacha kazi njema inayoonekana hakuacha porojo

Niteseke na Shetani liko kuzimu??
Unayeteseka ni wewe unayeweweseka na kufikiri labda litarudi tena.
Kama unalipenda lile liuwaji kiukweli basi kunywa dawa ya panya ulifuate kuzimu ukalisifu liuwaji jizi

RIH. Shetani liuwaji
 
Niteseke na Shetani liko kuzimu??
Unayeteseka ni wewe unayeweweseka na kufikiri labda litarudi tena.
Kama unalipenda lile liuwaji kiukweli basi kunywa dawa ya panya ulifuate kuzimu ukalisifu liuwaji jizi

RIH. Shetani liuwaji
Una nongwa ya kukosa ubunge [emoji16]

Ulikatwa
 
Zuhura Yunus ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya Ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete.

Hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza? Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.

Wote ,aliyeansisha ujenzi na aliyekamilisha ujenzi japo historia inampendelea aliyeizindua.
 
Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?

Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?

Konyo wewe, msoga gang mmoja usie na haya akilini mwako
 
Back
Top Bottom