Ikulu ya Dodoma imetelekezwa? Rais Samia anatumia ya Dar es salaam na Tunguu Zanzibar

Shida ya nchi hii kila mtu anakuja na uongozi wake naawazo kichwani,kuna wakati Magu alimwapisha waziri barazani kwake Chato.Katiba kwenye hizi nchi zetu ni muhimu sana.Haya mambo ndio yanasababisha hata madeni makubwa.Dodoma imejengwa kwa gharama kubwa sana
 
Viongozi wetu wanatukosea kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…