Ikulu ya Marekani: Mike Pence ampongeza Maxence Melo kwa unadhifu wake

Ikulu ya Marekani: Mike Pence ampongeza Maxence Melo kwa unadhifu wake

Vile nyumbu wa Lumumba wanakuja speed kuja kupinga!
treksandsafaris_B50dT4bDNs1.jpeg
 
Mbona kama kuna harufu ya ushoga hapo....mwanaume utamsifiaje mwanaume mwenzio kapendeza
 
Mike Pence ni kama kipa katoka. Yaan anamsifia mmiliki wa platform mwiba kwa serikali kama JF kwa kuvaa vizuri? Kweli Trump mjanja sana, kachagua pazia ndo awe makamu wake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji23][emoji23]
Huko ni kina kirefu sana, yaani CCM wote wakina Polepole ujanja wao unaishia kupiga picha na madiwani wa kununua.

Wakijitahidi sana watapiga picha na Wacomonist wa China
 
Huko ni kina kirefu sana, yaani CCM wote wakina Polepole ujanja wao unaishia kupiga picha na madiwani wa kununua.

Wakijitahidi sana watapiga picha na Wacomonist wa China


🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👯👯👯na mishat yao km misukule waliofufuka!
 
Ulitakiwa ujibu kuwa hiyo suti ni jitihada za serikali ya awamu ya tano kwa kutengeneza viwanda vya ndani, wallahi ungebakizwa huko huko ukawe Balozi wetu US.
Ila kwa jibu lako hilo la sijui kazi ya Sheria nani sijui, subiri uone unavyotafutiwa timing ukaswekwe gereza la Butimba.


.hahahaahahahaha mbavu zangu mm jaman🤣🤣🤣
 
Bashite and company wakiona hivi viseemu fulani vinapwita
 
Back
Top Bottom