Umslopagazi
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,675
- 903
Lissu alidanganywa na comedians waliojazana bila kujiandikisha, na hata waliojiandikisha hawakujitokeza kupiga kura, nilikua mwangalizi eneo Fulani, ni wazee wengi na wamama ndio waliojazana kupiga kura.
Hahaha Dogo skia kama kura zimeibiwa ni kwa wabunge lakini sio urais
Jamaa kashinda kihaki kabisa
Hivi kwanini hamjaandamana kama unaona mlionewa?