Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
hata ukimwi ungewaondoa kwa kasi hii nadhani wangekesha LAB
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi waafrika ambao mioyo yetu in marekani na ulaya tunaungana na wamarekani katika kuitangaza dawa iliyovumbuliwa huko kwetu kwa kiroho marekani na kuzikataa zote zinazovumbuliwa huku kwetu kwa kimwili Africa, pia kwakuwa kirusi chenyewe kilivumbuliwa uchina kwa watu Wa ngozi nyeupe basi na dawa lazima itoke huko kwa weupe na sio porojo za waafrika wamegunduaje dawa kwa kirusi ambacho hawakugundua wao.
Sawa sawa ndugu mmarekani Wa moyo..Vipi Iran....maana naona hii habari imekuuma sana utakua wewe ni timu Ajemi ila umejificha kwenye kunadi vya Afrika.
Mbona miaka mingi sana hiyo. Kuiona kesho tu ni muzikiHizi dawa ukizitumia hutaishi zaidi ya miaka 45-50..
Naomba usipotoshe umma kuhusu kifo cha Mbunge Ndassa pls pls pls,ukiwa unaongea jambo ndg kumbuka pia kuwa na ushaidi.Kuna yule mbunge ameaga dunia, baadaye hotelini kwake vikakutwa vifaa ya kufukiza, hiki kirusi hakikua kinaskia hayo ya kufukiza. Tushukuru wanasayansi wa Marekani kwa kutumia ubongo na kuleta suluhu ya kudumu.
Hii inaweza kuja kwetu mapema kweli? au ndo tusubiri , mpaka worldKuna yule mbunge ameaga dunia, baadaye hotelini kwake vikakutwa vifaa ya kufukiza, hiki kirusi hakikua kinaskia hayo ya kufukiza. Tushukuru wanasayansi wa Marekani kwa kutumia ubongo na kuleta suluhu ya kudumu.
Ndg sisi kila kitu UlayaWa Madagascar alipotangaza amepata dawa na raia wanapona waafrika wenzie mmeungana na wazungu kuisubiri ya wazungu na sasa mnawashukuru
Alieturoga amefanikiwa sana.
watu wanajua kukuza mambo asee.yani kama haupo africa alafu ukiona mtu kaandika africa tunapukutika.
unaweza vuta picha barabara zote zimejaa maiti nyumba zimefungwa barabarani hamna watu.maisha yamesimama.
kumbe sivyo kabisa ni mbwembwe tu za wakesha kwenye media
Sent using Jamii Forums mobile app
Neno sahihi ni 'adverse health effect', side effect ni kitu kingine mkuu Mshana Jr.How about its side effects and other complications?
Jr[emoji769]
... hivi ndio vichwa vinavyohitajika duniani humu! Sio wale wengine wanadai virus "viliwaponyoka" huko maabara kwao vikaishia kuleta maafa duniani!
Huku comoro kwanza hakuna maambukizi pili kuna dawa za ndani za wenyeji hawa.
.... watawatibu tu usiwe na wasiwasi; hata Iran nao wataihitaji hata kama kwa magendo!Leo wameshakia 66000 na zaidi huko marekani, wawatibu wananchi wao kwanza waache propaganda
Sent using Jamii Forums mobile app
Wageni hawaingii kizembe ww. Bakini hko hko msituletee wengeViza ya uko napataje kiongozi?
😂😂South Africa inaongoza Africa kwa wagonjwa wa corona ina vifo 103.
Lakini cha ajabu mbongo ana kwambia.
"Yaani tunakufa tunakufa huku mitaani kamaa kuku wa kideri".
yaani ukiwa na roho nyepesi ukiyasikiliza ya mitandaoni UNAWEZA UKAJINYONGA KWA KUOGOPA KORONA.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]
Na ukiijua saikolojia ya watanzania hauwezi sumbuka,wana habari za uongo na chumvi nyingi kuna kile kipindi meko alisemekana kafa! Ilitamba sana mitandaoni hasa humu ila jamaa siku anaongea ikuli kabla hajaja kuna nyimbo zilikuwa zinapigwa nikajua na ikulu kumbe wamo[emoji23]
Ati hauwezi kushindana na wanadamu wenye kinywa[emoji23][emoji23]
Ikulu big up..