Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi fine n blessed bredren.Waah gwan buddy
"GOD HELPS THOSE WHO HELP THEMSELVES”
Benjamin Franklin
Keep unu self ital inna dis yah critical time breddaMi fine n blessed bredren.
I and i as a Rastaman. I will be the last one to believe in any form of Babylon medication,my thoughts are fucked but that's how I feel.
Kwa akili hizi za kupika nyungu /kuzika maiti usiku usiku, eti unajificha!!! unaweza kuzizalisha hizo dawa wewe??? Acha wanaojua umuhimu wa shule, wafanye kazi zao, (mwafrika bila mzungu) kama tukiweza ku survive ni kwa tabu sanaaaa!!! Japo nadhani hatuwezi!!! Kwa mawazo haya ya kina kinjekitile 1905,hadi leo bado yapo kichwani kwa viongozi wetu?!!Kila nchi ilipie License ili izalishe hiyo dawa kwa ajili ya watu wake badala ya kutegemea nchi moja tuu.
hear u ma youth,tings get critically but I n I burn one spliff it keep dem bloodklaat evils away.Keep unu self ital inna dis yah critical time bredda
Mungu alimwambia Hezekia angemuongezea miaka 15 katika maisha yake alimwambia achukue mkate na tini na wapake kwenye jipu lake.Mbona tu najitahidi kujisaidia kunawa mikono,kuvaa mask,kutumia sanitizer kwanini mungu asitusaidie kutulinda?
Sent using Jamii Forums mobile app
2 mi brodahear u ma youth,tings get critically but I n I burn one spliff it keep dem bloodklaat evils away.
Mungu alimwambia Hezekia angemuongezea miaka 15 katika maisha yake alimwambia achukue mkate na tini na wapake kwenye jipu lake.
2 Waf. 20:7
Akasema tutumie dawa za asili 2 Samuel 286-287
Hivyo physicians na chemists ingieni lab mfanye mambo
YesNaisi wameona sasa watoe dawa,baada ya kuona mipango yao imefika mahali,daima sina Imani na Mzungu.
Nadhani wataanza kuuza ulimwenguni, ili wakuze uchumi wao,sina Imani na Mzungu na huenda wameona watoe tu dawa ili uovu wao usijulikane baada ya kuathiri nnchi yao.
Afu kumbe ni Tetesi?
How about its side effects and other complications?
Jr[emoji769]
[emoji28][emoji28]Bado ni tetesi.. Ila Mungu asaidie iwe kweli [emoji120][emoji120]
Au mods mnasemaje?
CHAKO NI CHAKO.....iko Dodoma maarufu kwa kuku chomaKwa akili hizi za kupika nyungu /kuzika maiti usiku usiku, eti unajificha!!! unaweza kuzizalisha hizo dawa wewe??? Acha wanaojua umuhimu wa shule, wafanye kazi zao, (mwafrika bila mzungu) kama tukiweza ku survive ni kwa tabu sanaaaa!!! Japo nadhani hatuwezi!!! Kwa mawazo haya ya kina kinjekitile 1905,hadi leo bado yapo kichwani kwa viongozi wetu?!!
Wageni hawaingii kizembe ww. Bakini hko hko msituletee wenge
Sisi tulisha anza itumia ile yamadagascar nyie kaeni tu muabudu wazungu.Ngoja Wairani waje