Tetesi: Ikulu ya Marekani yatangaza dawa dhidi ya Corona, shukrani sana wazungu, mbarikiwe

Sasa hata FDA hawajaithibitisha tiyari unashangilia. Ikulu ya Marekani haina mamlaka ya kutangaza kuanza kwa matumizi ya dawa, mamlaka hiyo wanayo FDA na wakiikataa hutokaa uione popote.
Ikulu ya Marekani kutamka ni dawa ni sawa na Magufuli aliposema tujifukize na vilevile ni sawa na Trump aliposema kuhusu chroloquine.

Jibu na hiyo comment juu kuhusu dawa ya majaribio ya Uingereza, na vipi kuhusu ile ya Australia.
 
Waendelee kujitibia vifo vipungue na vikome huko marekani kabla haijasambazwa kwingine

Waongo wakubwa hao, dawa wanayoka pigia debe imekuwa proven ineffective katika kupambana na virusi vya Corona - imefanyiwa majaribio ya kina huko Uchina na wagonjwa karibu wote walio pewa dawa hiyo walipoteza maisha - Wachina waliwafahamisha matokeo ya majaribio ya dawa ya Ram
 
Nimeona pia BBC hii dawa haitibu covid 19 ila inapunguza fatality so tusishangilie Sana. Ila naomba kuuliza mbona kama mentality ya wakenya kwa mzungu ni kama Kenya bado inatawaliwa na hawa watu. Angalia post za huyu mkenya na wenzake kuhusu west yaani ni kama mtumwa na bwana yake..
 
Vipi na yule Mwingereza waliyemchoma dawa ya majaribio ya chanjo akafa imekuaje mpambe wa wazungu?
Huyo ni shujaa sio kama sisi jamii ya ngendere ambao hatuna mchango wowote dunia hii, kazi yetu ni kuzaliana na kuomba misaada na kuwa mzigo kwa wengine...pumbavu sana.
 
Huyo ni shujaa sio kama sisi jamii ya ngendere ambao hatuna mchango wowote dunia hii, kazi yetu ni kuzaliana na kuomba misaada na kuwa mzigo kwa wengine...pumbavu sana.
Kumbe unajua na kutukana kaka yangu mtaalam wa IT? Ngoja tuendelee kuomba kwao mabeberu kwani hujui kuwa wakina Carl Peter walituibia sana wakati wa ukoloni?? Na sisi tunarudisha pole pole Boss wangu kutoka Kunya Country!!
 
Naomba unitag mkuu kama akikujibu.

Sent using My COVID-19
 
Kumbe unajua na kutukana kaka yangu mtaalam wa IT? Ngoja tuendelee kuomba kwao mabeberu kwani hujui kuwa wakina Carl Peter walituibia sana wakati wa ukoloni?? Na sisi tunarudisha pole pole Boss wangu kutoka Kunya Country!!

Waliibia mababu zetu na wanatuibia hata sisi wajukuu maana hatuna mchango wowote. Hivi nikuulize hapo Tz nani aligundua gesi, ni wewe mweusi au hao, na nani ananufaika zaidi, hivi majirani wa hapo ilipo bado wanalima mihogo au maisha yao ni kama Ulaya.
Waafrika tukubali hata wajukuu wetu watazidi kuliwa maana badala ya kutumia akili tumekalia kujiaminisha pumba, kirusi hiki ni tatizo la kisayansi, wataalam wetu walipaswa kukesha kwenye maabara sio kujifukiza.
 
wakenya wapo tayari kubugia hata ugoro alimradi ni mzungu tu kawaambia.

Well said, hata mimi nilishangaa nilipo wasikia virologists wa Chuo Kikuu cha Oxbridge (Oxford) wakisema wameanza kuzifanyia majaribio chanjo zao huko England na Nchini Kenya! Would you belive it?

Hivi Wakenya hawajui madhara ya kutumiwa kama guinea- pigs na wala hatuta ona ajabu kama Waingereza wana lengo la kufanya majaribio ya chanja zao nchini Kenya kwa watu weusi bila ya wao kuwachanja wazungu wenzao hata mmoja, wata zuga zuga Dunia kwa kuonyesha kwenye TV na media nyingine ma volunteers wa kizungu wakichanjwa,kumbe hizo ni geresha tupu - Waingereza ni very crafty, na wala Wakenya hilo hawajalishtukia badala yake wana angahika kuwapigia debe ngozi nyeupe specifically Anglo-Saxon breed - hapo baadhi ya Wakenya uwambii kitu wakakusikiliza, as far as they are concern Americans and British are Demi-God.
 

The drug seems to be promising in the fight against COVID-19 based on current and previously existing data.
[ Remdesivir was originally investigated as a treatment for Ebola virus, but has potential to treat a variety of RNA viruses.
Its activity against the coronavirus (CoV) family of viruses, such as SARS-CoV and MERS-CoV, was described in 2017, and it is also being investigated as a potential treatment for SARS-CoV2 infections.]
 
Exactly kama wengine humu wanavyowasujudia Warussia, Wachina, wairan na waarabu.
 
Haya mambo yanataka utaalam sio pumba za kikombe cha babu, sio huyo tu wa Madagascar yaani waliotangaza dawa ni wengi tu, lakini mpaka ikubalike lazima ielezwe kwa misingi ya kisayansi.

Ukweli ni kuwa wazungu hawataki kupitwa
 
@MK254 wakwanza Huyu Kiumbe Huyu Mkikuyu anashida sana asee [emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani anajiona yeye Mzungu Pure Huyu


Ilakwakua simjui anaweza akawa Mzungu huyu US Beibe ama Mtoto Wamalkia Huyu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]

Sent using My COVID-19
 
Madagascar kagundua dawa wana mpiga majungu.

Sasa tufanyeje wakati gunduzi zetu wanataka wazikague wao ila za kwao wakisema tu wanataka kutekeleza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…